Salaam!
Asomaye na afahamu,
1. Mfalme Daudi alipenda sana kumjengea hekalu Mungu Ili Sanduku la AGANO lipate pa kukaa, akasahau kuangalia mikono yake ilivyojaa damu, ombi lake likakataliwa, mwanae Mfalme Suleimanmwenye mikono safi ndiye akaja kupata ridhaa kujenga hekalu.
2. Hitler, Idd Amin na madikteta wengineo, wangependa sana kuridhiana na wananchi wao Ili kurejesha amani ila damu mikononi mwao ilikataa. Damu huwa ina tabia ya kudai kisasi.
WAY FORWARD.
Viongozi kagueni mikono yenu, pakiwapo damu, Sheria ya asili inakataa watu wenye damu mikononi kuja meza ya amani ya maridhiano. Kukimbilia washroom kuosha mikono kamwe hakujawahi kuondoa damu maana damu ni uhai, ni nafasi, haifutiki.
Wenye haki ya kuwaleta watanzania Katika meza ya maridhiano ni watu na viongozi wasio na Damu mikononi wapo na wanajulikana. Mauaji ya kimbari hayakumalizwa na viongozi waliokuwepo, watu wapya ndio walikuja kuleta maridhiano na kuleta TOBA ya haki ndipo kukatulia.
Mungu ibariki nchi YANGU nzuri niipendayo Tanzania 🇹🇿
Nawasilisha.
Asomaye na afahamu,
1. Mfalme Daudi alipenda sana kumjengea hekalu Mungu Ili Sanduku la AGANO lipate pa kukaa, akasahau kuangalia mikono yake ilivyojaa damu, ombi lake likakataliwa, mwanae Mfalme Suleimanmwenye mikono safi ndiye akaja kupata ridhaa kujenga hekalu.
2. Hitler, Idd Amin na madikteta wengineo, wangependa sana kuridhiana na wananchi wao Ili kurejesha amani ila damu mikononi mwao ilikataa. Damu huwa ina tabia ya kudai kisasi.
WAY FORWARD.
Viongozi kagueni mikono yenu, pakiwapo damu, Sheria ya asili inakataa watu wenye damu mikononi kuja meza ya amani ya maridhiano. Kukimbilia washroom kuosha mikono kamwe hakujawahi kuondoa damu maana damu ni uhai, ni nafasi, haifutiki.
Wenye haki ya kuwaleta watanzania Katika meza ya maridhiano ni watu na viongozi wasio na Damu mikononi wapo na wanajulikana. Mauaji ya kimbari hayakumalizwa na viongozi waliokuwepo, watu wapya ndio walikuja kuleta maridhiano na kuleta TOBA ya haki ndipo kukatulia.
Mungu ibariki nchi YANGU nzuri niipendayo Tanzania 🇹🇿
Nawasilisha.