Ukiwa na 'house girl' nyumbani mtunze kama mwanao, ni jukumu lako

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,992
17,892
Sisi wanaume huwa hatuzingatii haya ila ni muhimu sana wewe na mke wako mkaishi kwa upendo na hawa mabinti wa kazi mfano:-

Wape mshahara kwa wakati

Kuepuka kuwapiga kuwafokea au kuwatisha wanapofanya kazi. Watreat sawa na unavyotreat familia yako kuanzia chakula malazi afya nk

Wapewe muda wa kupumzika wa kutosha saa zingine ukiona kafanya kazi sana mstopishe aache apumzike mimi na mke wangu tuna kanuni moja tulishampiga marufuku kufanya kazi kupitiliza na kulala lazima alale muda wa kutosha na nikinunuaga zawadi za sikukuu au vizawadi au vitu vidogo vidogo nyumbani nikigawa lazima na yeye nimjuishie huko na huwa sina ubaguzi wowote kila kitu nacholeta kwa ajili ya watoto na yeye namletea

Kama nyumbani wife na watoto wapo na ni wa wakubwa kiasi au wanafamilia wapo basi kazi nyingine wazifanye wenyewe tu au wamsaidie dada wa kazi sio kila kazi anaachiwa dada wa kazi.

Wapewe uhuru kwa namna inayofaa, kuna nyumba nyingine dada wa kazi haruhusiwi kushika simu au kuwa na simu yaani eti akitaka kuwasiliana na ndugu hadi aombe simu ya mwajiri wake huu sio utu hata kidogo.

Wengine wanawazuia wasifate imani yao mfano housegirl muislam anazuiwa kwenda msikitini au kuswali akiwa kwa mkristo au housegirl mkristo anazuiwa kwenda kanisani au kwenye maombi akiwa kwa muislam. Sasa mnamzuia mtu na imani yake ili iweje jee unapata nini kumzuia? Akikufuata kiimani utafaidi nini? Au utakua tajiri?

Au ndo utaenda peponi/mbinguni? Mimi dini ya mtu inanihusu nini? Hata kama angekuwa anaabudu ng'ombe fresh tu ndo imani yake. Mimi kwangu ni waislam dada wa kazi ni imani tofauti na yetu lakini tumempa uhuru wa kuabudu atakavyo jumapili ikifika anafanya kazi chache mnoo ni siku yake ya kwenda kuabudu siku hiyo kazi nyingi anafanyaga wife tu.

Kikubwa ni kuwapa usawa tu kama ilivyo kwa wanao mkeo au wanafamilia wengine ukifanya hivi hakika utakua na familia yenye furaha na amani kwasababu hawa dada wa kazi aka beki tatu mara nyingi ndo wanashinda majumbani na kuangalia familia kwenye kila kitu.
 
Umesema ving vzur kuw tuish nao kama ndugu zetu na muda huo huo tuwalipe mishahara.

Mimi nazan ungesema tuwazngatie vtu muhim kama kazi afanye zile kaz ambazo kweli anapaswa kufanya kama dada wa kaz na kutokuish nae kwa chuki haya mengine ni utash wa mtu.

Nilikaa na bint hajui kusoma wala kupika vyakula comon vya mjin na alikuja na nguo alizovaaa asee kiukwel niliishi nae vyema ikafkia wakat inabd aend kusalimia kwao akaend na nguo nilizomnunualia amejaz kwenye shangaz kaja lile la 5 mtoto kapendz anajua kusoma anajua kushona then wazaz wake wakaja juu kuona kuw sisi ndio tumefaid na mtoto wao tukapga chin tukasema aishie huko huko.

Ila dah yule bint aliwez kuendan na watoto wangu kiukwel japo alipoaanz kunawili vzr sometimes alikuw ananipa wakat mgumu.
 
Umesema ving vzur kuw tuish nao kama ndugu zetu na muda huo huo tuwalipe mishahara.

Mimi nazan ungesema tuwazngatie vtu muhim kama kazi afanye zile kaz ambazo kweli anapaswa kufanya kama dada wa kaz na kutokuish nae kwa chuki haya mengine ni utash wa mtu.

Nilikaa na bint hajui kusoma wala kupika vyakula comon vya mjin na alikuja na nguo alizovaaa asee kiukwel niliishi nae vyema ikafkia wakat inabd aend kusalimia kwao akaend na nguo nilizomnunualia amejaz kwenye shangaz kaja lile la 5 mtoto kapendz anajua kusoma anajua kushona then wazaz wake wakaja juu kuona kuw sisi ndio tumefaid na mtoto wao tukapga chin tukasema aishie huko huko.

Ila dah yule bint aliwez kuendan na watoto wangu kiukwel japo alipoaanz kunawili vzr sometimes alikuw ananipa wakat mgumu.
Kabisa
 
Sisi wanaume huwa hatuzingatii haya ila ni muhimu sana wewe na mke wako mkaishi kwa upendo na hawa mabinti wa kazi mfano:-

Wape mshahara kwa wakati

Kuepuka kuwapiga kuwafokea au kuwatisha wanapofanya kazi. Watreat sawa na unavyotreat familia yako kuanzia chakula malazi afya nk

Wapewe muda wa kupumzika wa kutosha saa zingine ukiona kafanya kazi sana mstopishe aache apumzike mimi na mke wangu tuna kanuni moja tulishampiga marufuku kufanya kazi kupitiliza na kulala lazima alale muda wa kutosha na nikinunuaga zawadi za sikukuu au vizawadi au vitu vidogo vidogo nyumbani nikigawa lazima na yeye nimjuishie huko na huwa sina ubaguzi wowote kila kitu nacholeta kwa ajili ya watoto na yeye namletea

Kama nyumbani wife na watoto wapo na ni wa wakubwa kiasi au wanafamilia wapo basi kazi nyingine wazifanye wenyewe tu au wamsaidie dada wa kazi sio kila kazi anaachiwa dada wa kazi.

Wapewe uhuru kwa namna inayofaa, kuna nyumba nyingine dada wa kazi haruhusiwi kushika simu au kuwa na simu yaani eti akitaka kuwasiliana na ndugu hadi aombe simu ya mwajiri wake huu sio utu hata kidogo.

Wengine wanawazuia wasifate imani yao mfano housegirl muislam anazuiwa kwenda msikitini au kuswali akiwa kwa mkristo au housegirl mkristo anazuiwa kwenda kanisani au kwenye maombi akiwa kwa muislam. Sasa mnamzuia mtu na imani yake ili iweje jee unapata nini kumzuia? Akikufuata kiimani utafaidi nini? Au utakua tajiri?

Au ndo utaenda peponi/mbinguni? Mimi dini ya mtu inanihusu nini? Hata kama angekuwa anaabudu ng'ombe fresh tu ndo imani yake. Mimi kwangu ni waislam dada wa kazi ni imani tofauti na yetu lakini tumempa uhuru wa kuabudu atakavyo jumapili ikifika anafanya kazi chache mnoo ni siku yake ya kwenda kuabudu siku hiyo kazi nyingi anafanyaga wife tu.

Kikubwa ni kuwapa usawa tu kama ilivyo kwa wanao mkeo au wanafamilia wengine ukifanya hivi hakika utakua na familia yenye furaha na amani kwasababu hawa dada wa kazi aka beki tatu mara nyingi ndo wanashinda majumbani na kuangalia familia kwenye kila kitu.
Safi. Huo ni uanaume. Mwanaume ni baba kwa kila mwenye uhitaji wa baba, kwa kadiri awezavyo.

Ukiweza, mtafute alau yatima mmoja umfanye ajisikie yeye naye ana baba, hata kama usipoweza kuishi naye kwako, waweza muonesha upendo utakaomfanya ajisikie kuwa naye ana mtu anayemjali kama mwanaye.

Hongera. Unafanya vizuri sana.
 
Yoyote anayeishi ndani ya nyumba yako ni mtoto Kati ya watoto wako
Hata kama huna mtoto bado huyo yuko chini ya mamlaka yako
 
Sisi wanaume huwa hatuzingatii haya ila ni muhimu sana wewe na mke wako mkaishi kwa upendo na hawa mabinti wa kazi mfano:-

Wape mshahara kwa wakati

Kuepuka kuwapiga kuwafokea au kuwatisha wanapofanya kazi. Watreat sawa na unavyotreat familia yako kuanzia chakula malazi afya nk

Wapewe muda wa kupumzika wa kutosha saa zingine ukiona kafanya kazi sana mstopishe aache apumzike mimi na mke wangu tuna kanuni moja tulishampiga marufuku kufanya kazi kupitiliza na kulala lazima alale muda wa kutosha na nikinunuaga zawadi za sikukuu au vizawadi au vitu vidogo vidogo nyumbani nikigawa lazima na yeye nimjuishie huko na huwa sina ubaguzi wowote kila kitu nacholeta kwa ajili ya watoto na yeye namletea

Kama nyumbani wife na watoto wapo na ni wa wakubwa kiasi au wanafamilia wapo basi kazi nyingine wazifanye wenyewe tu au wamsaidie dada wa kazi sio kila kazi anaachiwa dada wa kazi.

Wapewe uhuru kwa namna inayofaa, kuna nyumba nyingine dada wa kazi haruhusiwi kushika simu au kuwa na simu yaani eti akitaka kuwasiliana na ndugu hadi aombe simu ya mwajiri wake huu sio utu hata kidogo.

Wengine wanawazuia wasifate imani yao mfano housegirl muislam anazuiwa kwenda msikitini au kuswali akiwa kwa mkristo au housegirl mkristo anazuiwa kwenda kanisani au kwenye maombi akiwa kwa muislam. Sasa mnamzuia mtu na imani yake ili iweje jee unapata nini kumzuia? Akikufuata kiimani utafaidi nini? Au utakua tajiri?

Au ndo utaenda peponi/mbinguni? Mimi dini ya mtu inanihusu nini? Hata kama angekuwa anaabudu ng'ombe fresh tu ndo imani yake. Mimi kwangu ni waislam dada wa kazi ni imani tofauti na yetu lakini tumempa uhuru wa kuabudu atakavyo jumapili ikifika anafanya kazi chache mnoo ni siku yake ya kwenda kuabudu siku hiyo kazi nyingi anafanyaga wife tu.

Kikubwa ni kuwapa usawa tu kama ilivyo kwa wanao mkeo au wanafamilia wengine ukifanya hivi hakika utakua na familia yenye furaha na amani kwasababu hawa dada wa kazi aka beki tatu mara nyingi ndo wanashinda majumbani na kuangalia familia kwenye kila kitu.
Miongoni mwa watu ninaowaheshimu sana duniani, ni mwanamke au mwanaume anayethubutu kumdhamini mtoto wa mwenzake kama mtoto wake. Nawaheshimu sana watu wa aina hiyo. Ni wachache sana wenye mioyo ya aina hiyo. Wapo, lakini ni wachache sana.

Hongera sana kwa moyo huo!
 
Back
Top Bottom