'but at the same time kumbi zote zimejaa wengine inabidi tufanye arusi ijumaa au jumapili'.....ur coleagues are busy getting married........sometimes we need to negotiate and move foward!!Life has never being that straightfoward.
Wakubwa zangu shikamooni!
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Akitokea mwanaume anajielewa, good looking, mcha Mungu, ana maendeleao anawindwaje sasa! Sio kwa Ofa, SMS, Treats za kila namna! Kila mtu napotaka yeye ni hapo tu! Survial of the fittest! Sasa wanaume wanaponzeka na huu mchuano na most of the time wanaoshinda ni ile Migubegube ya jiji! Mwanaume anawaringia wadada wenye maadili na kuangukia mikononi mwa gube gube!
Kuchamba Kwiingi Kutoka na Mavi! Wanaume wa ukweli punguzeni kuachagua sanaaa mtaishia kupata migubegube tu!
waswahili wanasema kigae kimevunjika!!
very true..... unakutwa na anxiety ya kuchagua
This speech is so strong brother, so admiring n alluring . Well done well written MKATA KIUHuo ndo ukweli wenyewe kadi za harusi zinapichana tu mezani na wengine wanataka michango,,
Haijalishi awe na vigezo 100 au anavyo 50 muhimu ni furaha unayopata ukiwa naye, unacheki cost-benefit analysis ukiona inalipa mnafanya maisha pamoja na mkiwa na nia Mungu atawasimamia
"Life is not about waiting storm to pass, is about getting out there and dancing in the rain"
Maisha yenyewe ya kwapi ya kumsubiri best candidate mwenye sifa ambazo hata ukimuumba mwenyewe hawez kuwa nazo..
Nina imani ndoa zenye upendo zinakuja na baraka hata kama hamna kitu""" si mnakumbuka baada ya beckham kumuoa victoria mpira ulivyomkubali au mmesahau season ya 99, after harusi na victoria jamaa alivyotingisha dunia...
I remember nilikuwa primary lakini siwezi sahau victoria alivyoshuka na machozi kutoka jukwaani kumkumbatia Beckham after Manchester utd vs Juventus champions league semi final ile game ya 3-2,, that night nilikuwa mtoto lakini I feel lonely and know that you will never walk alone, a lady must be there to cry with you and cheer with you...
Maisha magumu hayasomeki lakini tusiogope kufanya Maisha pamoja na pande zote zipunguze vigezo mkiwa wawili kutoboa ni rahisi kuliko ukiwa alone.. we Lara 1 na wenzako mwambie mchaga wako mfanye maisha tu no matter Mr sina kitu au Mdau
Wakubwa zangu shikamooni!
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kwanza kabisa nashow some love to JF dar wing waliomake things happen kwenye White Party! Mtambuzi uko juu sana my Broder! Mambo yalikuwa TBC 1 Ukweli na Uhakika! Madame B kazi ilipendeza! Vin Diesel mlisababisha sanaa! Party yoyote mkiacha kunialika I WILL BE REALY REALY OFFENDED!!!!!!!
BACT TO TOPIC
Times are changing! And they are changing so fast for the worst! Wanawake wamekuwa heartless kabisa! Wanaume wa ukweli wamepungua sanaaa imebaki migumegume basi akitokea Masali Mmoja wa wanaume wa ukweli wanawake tunatoana roho yarabiiii! Inageuka survival of the fittest ambayo inamwacha yule mwanaume a very UNHAPPY MAN!
Wanaume siku hizi kwanza hawajui kufunga zipu za suruali, hivo unakuta mtu kamaliza chuo tayari ana mtoto mkubwa aliemzaa chuo au sekondari, akipata kazi anafyatuliwa kingine na mama mwengine, so kukuta mwanaume anakwambia sijaoa ila nina watoto 2 wakubwa si jambo la kushangaza! Achia mbali wale wanaume mnafanya wote kazi wanakupiga mizinga kama kawa! Hapo hutoki nae, ukitoka nae si atakugeuza ATM! Acha tabia ya umaloon, anakutongozeni wewe, mashosti wako hadi waadogo zako, ataekubali keshaenda na maji! Basi imekuwa so frustrating kwa sie wadada!
Akitokea mwanaume anajielewa, good looking, mcha Mungu, ana maendeleao anawindwaje sasa! Sio kwa Ofa, SMS, Treats za kila namna! Kila mtu napotaka yeye ni hapo tu! Survial of the fittest! Sasa wanaume wanaponzeka na huu mchuano na most of the time wanaoshinda ni ile Migubegube ya jiji! Mwanaume anawaringia wadada wenye maadili na kuangukia mikononi mwa gube gube!
Kuchamba Kwiingi Kutoka na Mavi! Wanaume wa ukweli punguzeni kuachagua sanaaa mtaishia kupata migubegube tu!
The Boss, mwanaume wa ukwenhe huyo! LOL
Beauty is in the eye of the beholder
we waweza muona mtu wa ukweli wengine wakamuona hamna kitu...