Ukiwa Mwanaume wa Ukweli shida tupu!

Ukiwa Mwanaume wa Ukweli shida tupu!

namshukuru sana Mungu nilizaliwa zamani.
haya sipo tena manake sihitaj tena wa kutoka nae zaid ya 4 boys wangu, na baba yao akileta shobo anafungiwa vioo life inasonga mpango mzima.

lkn tukirudi kwenye uhalisia wa maisha ya kileo wote vijana wa kiume na wa kike hawajui wanachokitaka ukisema ni swala la hela hata wakiwa nazo sio credit yao ya kutulia, ukisema ni swala la uzuri hata wawe kama malaika sio sababu ya kuwa watulivu, ukisema ni mgegedo basi hata wawe wanapeana utamu bado tu haiwatoshi kutulia.

kwangu mimi imenifanya nirudi kwenye maandiko matakatifu na kuona kwamba haya yanayotokea leo ni sawa na yale yaliyosababisha gharika ama sodoma na gomora kuwaka moto.

jambo la msingi la kufanywa na mtu binafsi(kijana) ni kujitambua thamani yako irrespective of your sex kisha kuangalia wajibu wako kwenye ulimwengu wa mapenzi ni upi na kumwomba mungu atimize haja za moyo wako.

Ni kweli ukimwomba Mungu utafanikiwa tu,ila usiwe na haraka wala papara,Pia pia usi pretend maisha yako halisi,hakuna malaika hapa,au watakatifu cha msingi ni kukumbuka "KUTUBU" Kila wakati wa makosa,sio mtu unaombaaaaa,halafu hutubu na unaendeleza migegedo,hapo sala kumpata umtakaye haipo,usijilinganisha eti mbona shoga yako yupo vile lakini kampata mkaka/mdada excellent,hujui kampataje,hujui nini kitafuata mbele ya maisha yake.

Nimekumbuka wimbo huu;
Ujana maji ya moto ujaaanaaa*2
nitakufa na mawazo ujaanaa*2
Nikikumbuka uzeee silaliii*2
Nitakufa na mawazo ujaanaa*2

Watu wengi wanawaua wazeee*2
Ujana maji ya moto ujanaaaa*2.
ni hayo tu nimekumbuka wimbo huu nilipokuwa namaliza form 4, 1999,but sio bongo flavour.
 
hahahah kumbe we kikongwe, ila huo wimbo nami naukumbuka....
Ni kweli ukimwomba Mungu utafanikiwa tu,ila usiwe na haraka wala papara,Pia pia usi pretend maisha yako halisi,hakuna malaika hapa,au watakatifu cha msingi ni kukumbuka "KUTUBU" Kila wakati wa makosa,sio mtu unaombaaaaa,halafu hutubu na unaendeleza migegedo,hapo sala kumpata umtakaye haipo,usijilinganisha eti mbona shoga yako yupo vile lakini kampata mkaka/mdada excellent,hujui kampataje,hujui nini kitafuata mbele ya maisha yake.

Nimekumbuka wimbo huu;
Ujana maji ya moto ujaaanaaa*2
nitakufa na mawazo ujaanaa*2
Nikikumbuka uzeee silaliii*2
Nitakufa na mawazo ujaanaa*2

Watu wengi wanawaua wazeee*2
Ujana maji ya moto ujanaaaa*2.
ni hayo tu nimekumbuka wimbo huu nilipokuwa namaliza form 4, 1999,but sio bongo flavour.
 
Iliyobaki ni tutumiane na kugawana huu umasikini wa tz....linchi lenyewe halieleweki sembuse watu wake!!

Ukisema uingie kwa gia umependa na he's the one for you from heaven sijui..he he, siku ya siku unabaki kujutia vibaya...kwanza mtu mwelekeo hana, akutumie mpaka upauke na zaidi ya hapo wako wengine wamewekwa kama wewe kwenye ''roster''..job true true!! Hatare lakini salama!!
 
Iliyobaki ni tutumiane na kugawana huu umasikini wa tz....linchi lenyewe halieleweki sembuse watu wake!!

Ukisema uingie kwa gia umependa na he's the one for you from heaven sijui..he he, siku ya siku unabaki kujutia vibaya...kwanza mtu mwelekeo hana, akutumie mpaka upauke na zaidi ya hapo wako wengine wamewekwa kama wewe kwenye ''roster''..job true true!! Hatare lakini salama!!

Nikutafute tugawane umasikini? lol
 
hahahahah tugawane umaskini eehh?


smtimes its good to belive that he /she is one for u from heaven...
Iliyobaki ni tutumiane na kugawana huu umasikini wa tz....linchi lenyewe halieleweki sembuse watu wake!!

Ukisema uingie kwa gia umependa na he's the one for you from heaven sijui..he he, siku ya siku unabaki kujutia vibaya...kwanza mtu mwelekeo hana, akutumie mpaka upauke na zaidi ya hapo wako wengine wamewekwa kama wewe kwenye ''roster''..job true true!! Hatare lakini salama!!
 
Ni yule ambaye mtu yeyote akimuita gumegume ana chuki binafsi!

Ni mwanaume aliejipanga, responsible, mwenye kujielewa na anasomeka kwa jamii! Kila mtu anatamani ampate yeye! Insort anakuwa UNIVERSALY ATTRACTIVE!

NAPENDA KUTOFAUTIANA NA WEWE KWA HAYA,Hapo nilipo bold hapo....aliejipanga maana yake alishapitia kwenye process za kutafuta FEDHA Na tayari ana kitu/vitu fulani material.huyu sio anaeanza kujipanga inamaana tayari ameshajipanga ndo unaemfagilia,responsible maana yake anawajibika kwa familia yake/Gf wake,nafikiri a Normal Person he is obvious responsible,abnormal ndo irresponsible,anasomeka kwa jamii hapo pia ni subjectives,ina maana jamii ikimkubali na wewe unafagilia sio?,jamii gani?mfano wengine akiwa mkaka mcha Mungu hapendi mambo ya Club,ulevi yaani mtu ambae habadilishwi na upepo wa utandawazi nyie mtasema mshamba hawezi ku match na wewe,unatafuta vigezo vyako,jamii ni pana sana,Piga goti u will get it,unaweza kukuta jamii inabadilika by Maadili ya ki MUNGU Au maandiko ya kumcha Mungu hayabadiliki,Nowadays jamii inakosa ROLE MODELS,thats why mtu anajiyafutia mtu wa mtazamo wake tu,Thats why gfsonwin anasema tumrudie Mungu,pia anasema Vijana hawajui wanachokitaka.....vijana ni wa kike na kiume..
 
hahahahah tugawane umaskini eehh?
smtimes its good to belive that he /she is one for u from heaven...

ndo habari iliyobaki shosty. magubebuge na guberiz wameteka nchi kwa sasa!
Hiyo kuhusu ''The One'' ila siyo kuwa too excited na kujisahau..maana unaweza kushangazwa!!!



nakutega?
Hukunisoma vizuri Boss..ulivyosema nikutafute tugawane umasiki,nikakujibu vile (kiutani ofcourse)
 
Karibu tena dada...lwenkutura den lawe...I hope usalama upo!!!

shisarya mae kumbe shekwiya se sheelyi shilefiiyo mmona wa mwali akwa?? nyeelwee kaarwa muhimbili fimaa 2 endi kafwa. kweekyo mbony toose mpaka inderika teekee yaa boo kwakwa.

btw shitiri namba yafo ya kindo eki kyee rerya foo.
 
Ni yule ambaye mtu yeyote akimuita gumegume ana chuki binafsi!

Ni mwanaume aliejipanga, responsible, mwenye kujielewa na anasomeka kwa jamii! Kila mtu anatamani ampate yeye! Insort anakuwa UNIVERSALY ATTRACTIVE!

kama kim au kimbangu....
 
namshukuru sana Mungu nilizaliwa zamani. haya sipo tena manake sihitaj tena wa kutoka nae zaid ya 4 boys wangu, na baba yao akileta shobo anafungiwa vioo life inasonga mpango mzima. lkn tukirudi kwenye uhalisia wa maisha ya kileo wote vijana wa kiume na wa kike hawajui wanachokitaka ukisema ni swala la hela hata wakiwa nazo sio credit yao ya kutulia, ukisema ni swala la uzuri hata wawe kama malaika sio sababu ya kuwa watulivu, ukisema ni mgegedo basi hata wawe wanapeana utamu bado tu haiwatoshi kutulia. kwangu mimi imenifanya nirudi kwenye maandiko matakatifu na kuona kwamba haya yanayotokea leo ni sawa na yale yaliyosababisha gharika ama sodoma na gomora kuwaka moto. jambo la msingi la kufanywa na mtu binafsi(kijana) ni kujitambua thamani yako irrespective of your sex kisha kuangalia wajibu wako kwenye ulimwengu wa mapenzi ni upi na kumwomba mungu atimize haja za moyo wako.
nakubaliana na dada yangu............ni vyema kutambua thamani zetu, lakini PIA WANAUME WA UKWELI TUNAPATA SHIDA SANA, IMENIBIDI NIWE MUWAZI KUWAKATALIA WENGINE LAIVU KWAMBA SIWEZI KUWA NAO, LABDA KWA SABABU NIMEKULIA KANISANI. MAISHA NI KUMTANGULIZA MUNGU, YEYE NDIYE ANAJUA KESHO YETU
 
shisarya mae kumbe shekwiya se sheelyi shilefiiyo mmona wa mwali akwa?? nyeelwee kaarwa muhimbili fimaa 2 endi kafwa. kweekyo mbony toose mpaka inderika teekee yaa boo kwakwa.

btw shitiri namba yafo ya kindo eki kyee rerya foo.

Kutire nnu mankumbi...
iruva mbwe aishi mmosi nkonu wa kila ndu..amuirise warinyo...
ra shikurumnya yakwa lurere..
 
Yan sijuw dunia ya sasa inaelekea api maan.. Imagine hata hao wa ukweli waliooa..wanatongoza wadada na mabinti wa ukoo mzima!!!
Ukimpata wa ukweli either akili zake za kitoto..hamuendanii.. Ama ndo uamsho af we wa kakobe bas tabu tupu!!
Ukija alie atlst ndo material,basi ndo mr .sina,hali mbay kila sikuu..umpe wewe hata vocha!
Yan kilichobaki ni kumuomba Mungu kumwambia unachotaka,unaemtaka na kuwa na imani utampata..otherwise duh utajikuta unatumika kama sabuni..tena ukute bdo mashalah mjini sura na umbo..vyote vipo..uwiiii anakufanya show room!!

teh teh teh... Swts!!!
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na haya yote lakini bado kila weekend kuna maharusi watu wanaoana na kumbi zimejaa kupitiliza kwa maharusi. Hawa ni malaika Lara 1 au wanatokea sayari gani?
Mimi nadhani ni the way utakavyojiweka wewe mwenyewe na ukijua unataka nini na ujitambue kua ni mwanamke. Tatizo vijana wa siku hizi wengi hawajielewi. Wanawake wamekua kama wanaume. Hujui mwanamke ni yupi na wanammke ni yupi hakuna aliye chini. sote tuko gorofa ya 12 maana wote tumesoma sawa, mishahara mizuri tena saa niyingine mwanamke akamzidi mwanamme, ndio maana wanaume wamelemaa kwa kupiga mizinga wanawake tena bila aibu.
Jishushe Lara 1. Jitambue kua wewe ni mwanamke, na kumbuka kua mwanamme alikuja duniani kabla yako. Nina imani ukijishusha 2013 hii kama huna mume, lazima utatualika kwenye harusi yako na hakuna mwanamme atakupiga mizinga.
 
kwa asilimia kubwa ya wanawake wanachukulia mahusiano kama kitega uchumi na kwa wanaume wameshafanya mahusiano kuwa kuhit na kwenda zao.
 
Back
Top Bottom