Ukiwa Mwanaume wa Ukweli shida tupu!

Ukiwa Mwanaume wa Ukweli shida tupu!

Ha ha ha ha ha, una mameno wee mtoto

Yan sijuw dunia ya sasa inaelekea api maan.. Imagine hata hao wa ukweli waliooa..wanatongoza wadada na mabinti wa ukoo mzima!!!
Ukimpata wa ukweli either akili zake za kitoto..hamuendanii.. Ama ndo uamsho af we wa kakobe bas tabu tupu!!
Ukija alie atlst ndo material,basi ndo mr .sina,hali mbay kila sikuu..umpe wewe hata vocha!
Yan kilichobaki ni kumuomba Mungu kumwambia unachotaka,unaemtaka na kuwa na imani utampata..otherwise duh utajikuta unatumika kama sabuni..tena ukute bdo mashalah mjini sura na umbo..vyote vipo..uwiiii anakufanya show room!!
 
Tatizo ni kuwa wanaume wengi wa ukwel they are already taken, yamebaki makapi...so imebaki tutabanana hapahapa....its a bitter truth!!!

Hahahaaaaaa! SIO KWELI! Kila kizazi kina wanaume wa ukweli wa times zetu! Sema hawa wa kwetu PASUA KICHWA sanaaa!
 
Tatizo ni kuwa wanaume wengi wa ukwel they are already taken, yamebaki makapi...so imebaki tutabanana hapahapa....its a bitter truth!!!
wazungu wana kamsemo "all the good ones are either married or g--"
 
Yan sijuw dunia ya sasa inaelekea api maan.. Imagine hata hao wa ukweli waliooa..wanatongoza wadada na mabinti wa ukoo mzima!!!
Ukimpata wa ukweli either akili zake za kitoto..hamuendanii.. Ama ndo uamsho af we wa kakobe bas tabu tupu!!
Ukija alie atlst ndo material,basi ndo mr .sina,hali mbay kila sikuu..umpe wewe hata vocha!
Yan kilichobaki ni kumuomba Mungu kumwambia unachotaka,unaemtaka na kuwa na imani utampata..otherwise duh utajikuta unatumika kama sabuni..tena ukute bdo mashalah mjini sura na umbo..vyote vipo..uwiiii anakufanya show room!!
Du sina bahati hiyo hivi kweli wapo wadada waatoa ofa ???sina bahati basi
 
Wakubwa zangu shikamooni!

Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Kwanza kabisa nashow some love to JF dar wing waliomake things happen kwenye White Party! Mtambuzi uko juu sana my Broder! Mambo yalikuwa TBC 1 Ukweli na Uhakika! Madame B kazi ilipendeza! Vin Diesel mlisababisha sanaa! Party yoyote mkiacha kunialika I WILL BE REALY REALY OFFENDED!!!!!!!

BACT TO TOPIC

Times are changing! And they are changing so fast for the worst! Wanawake wamekuwa heartless kabisa! Wanaume wa ukweli wamepungua sanaaa imebaki migumegume basi akitokea Masali Mmoja wa wanaume wa ukweli wanawake tunatoana roho yarabiiii! Inageuka survival of the fittest ambayo inamwacha yule mwanaume a very UNHAPPY MAN!

Wanaume siku hizi kwanza hawajui kufunga zipu za suruali, hivo unakuta mtu kamaliza chuo tayari ana mtoto mkubwa aliemzaa chuo au sekondari, akipata kazi anafyatuliwa kingine na mama mwengine, so kukuta mwanaume anakwambia sijaoa ila nina watoto 2 wakubwa si jambo la kushangaza! Achia mbali wale wanaume mnafanya wote kazi wanakupiga mizinga kama kawa! Hapo hutoki nae, ukitoka nae si atakugeuza ATM! Acha tabia ya umaloon, anakutongozeni wewe, mashosti wako hadi waadogo zako, ataekubali keshaenda na maji! Basi imekuwa so frustrating kwa sie wadada!

Akitokea mwanaume anajielewa, good looking, mcha Mungu, ana maendeleao anawindwaje sasa! Sio kwa Ofa, SMS, Treats za kila namna! Kila mtu napotaka yeye ni hapo tu! Survial of the fittest! Sasa wanaume wanaponzeka na huu mchuano na most of the time wanaoshinda ni ile Migubegube ya jiji! Mwanaume anawaringia wadada wenye maadili na kuangukia mikononi mwa gube gube!

Kuchamba Kwiingi Kutoka na Mavi! Wanaume wa ukweli punguzeni kuachagua sanaaa mtaishia kupata migubegube tu!
Dada acha uongo, wanaume wa hapo kwenye red huwaga hamuwawindi hata kidogo. Mnaowawinda ni hao wa kwenye green.
 
Hii mada naona hainihusu. Ila poleni sana vijana (ke na me) wa enzi hizi za sasa.
 
Kazi kwenu vijana sisi wa umri wa utu uzima naona mambo hayo yanapungua saaana. Ilinipa shida sana hiyo hali ya ujana miaka ya nyuma.
 
What should I do? Am confuse nimpende nani!
 
Hizi ni nyakati ngumu sana! Nafikiri wanawake na wanaume wa ukweli bado wapo ila Sio kwa idadi kubwa! Ni vigumu kwa ulimwengu wa sasa kupata mtu makini, kuingia kwenye commitment ya ndoa ni jambo kubwa sana nafikiri kuliko kitu kingine chochote kwenye maisha ya binadamu, Sio jambo dogo hata kidogo.
 
Du sina bahati hiyo hivi kweli wapo wadada waatoa ofa ???sina bahati basi
Alzadawi,mkuu wanaume siku hizi(sio wote but %kubwa) wanapenda kulelewa!wanakuingia kwa gia ya nikopeshe....!!
ama utasikia kuna gari nataka kuchukua ila dah unaweza kuniazimia mahali kama dola kadhaa! weee kimbia mapemaa mwelekeze banks ama saccoss!!
siku hizi mjini mipango!!:shut-mouth::shut-mouth:
 
Last edited by a moderator:
Alzadawi,mkuu wanaume siku hizi(sio wote but %kubwa) wanapenda kulelewa!wanakuingia kwa gia ya nikopeshe....!!
ama utasikia kuna gari nataka kuchukua ila dah unaweza kuniazimia mahali kama dola kadhaa! weee kimbia mapemaa mwelekeze banks ama saccoss!!
siku hizi mjini mipango!!:shut-mouth::shut-mouth:
Sawa Swts, japo hata pa kuanzia sipaoni
 
A golden key can open any door..however, the problem is that the barking dogs seldom bite...
Nakubaliana na wewe kweli decent men wako kwenye anxiety moment regarding whom to choose!...
 
WAMETAKA KUKUCHUKULIA MCHAGA WAKO nini?
nambie tu mke mwenza tukatafute sari ya kumfunga kwnye mengele ya kiuno chako tu!lol
 
Back
Top Bottom