Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,305
- 29,852
Mwalimu leo huweki mkeka?Hii fani ukipita mitaani kila mtu anaona haina tija khabisa, ukisema tu mm ni mwalimu basi wote wanakupuuza na kuona umekosa dira, sasa kwann walimu jamni mnaendelea na hii kazi ivi mnafaidika nini haswa??
Maana najaribu kuangalia faida hata moja tu sioni, mshahara wenu naona ni mdogo saaana ni bajeti yangu ya mafuta ya gari ya siku tatu au nne
Hivi mnaishije nyie ngumbaru?? Mnaboa bhnaa tokeni huko hapafai
We jamaaaMwalimu leo huweki mkeka?
Kuna kitufe cha ignore, kwahiyo unakuwa huoni tena huu upuuziTumekuchoka na mada zako
Sana SanaNoma sana!
Nakumbuka safari yako ya lindi na mtwara kusaka ajira ya ualimu wa kujitoleaHii fani ukipita mitaani kila mtu anaona haina tija khabisa, ukisema tu mimi ni mwalimu basi wote wanakupuuza na kuona umekosa dira, sasa kwanini walimu jamani mnaendelea na hii kazi, hivi mnafaidika nini haswa?
Maana najaribu kuangalia faida hata moja tu sioni, mshahara wenu naona ni mdogo saaana ni bajeti yangu ya mafuta ya gari ya siku tatu au nne.
Hivi mnaishije nyie? Mnaboa bhnaa tokeni huko hapafai!
Mkuu labda baadhi ya walimu pia nadhani maisha ni vile unavyoweka na kutekeleza malengo yako. Kuna jamaa anafundisha Hesabu shule moja private X kule Karibu na bahari ya hindi. Jamaa anapokea milion 3 na anaendesha BMW X3.Hii fani ukipita mitaani kila mtu anaona haina tija khabisa, ukisema tu mimi ni mwalimu basi wote wanakupuuza na kuona umekosa dira, sasa kwanini walimu jamani mnaendelea na hii kazi, hivi mnafaidika nini haswa?
Maana najaribu kuangalia faida hata moja tu sioni, mshahara wenu naona ni mdogo saaana ni bajeti yangu ya mafuta ya gari ya siku tatu au nne.
Hivi mnaishije nyie? Mnaboa bhnaa tokeni huko hapafai!
Hata yeye Mwalimu Mpwayungu Village humu JF anaheshimika sana. Sijui kwanini anajidharau!Mbna huku chamwino Wana heshimika sana
Tatizo mna penda attention sanHii fani ukipita mitaani kila mtu anaona haina tija khabisa, ukisema tu mimi ni mwalimu basi wote wanakupuuza na kuona umekosa dira, sasa kwanini walimu jamani mnaendelea na hii kazi, hivi mnafaidika nini haswa?
Maana najaribu kuangalia faida hata moja tu sioni, mshahara wenu naona ni mdogo saaana ni bajeti yangu ya mafuta ya gari ya siku tatu au nne.
Hivi mnaishije nyie? Mnaboa bhnaa tokeni huko hapafai!
Bora polisi hakosi maokoto ya LindoHivi ualimu ni kazi ya hovyo kuliko upolisi?
Kwa jinsi sisi wananchi tunavyozichukulia kawaida hizi kazi.