Ukiwa muajiriwa unaweza kupata mkopo wa Chuo Kikuu?

GOSSO MZEKEZEKE

Senior Member
Dec 13, 2013
142
165
Habari wanaJF.

Kuna ndugu yangu ni muajiriwa wa serikali kama msaidizi wa kumbukumbu. Ana diploma ya "Records management", Anataka mwakani ajiendelee na chuo kikuu kusoma degree ya "Human resource" .

Sasa anataka kujua endapo akiomba mkopo atapata? mwenye uzoefu wa hii kitu kwa miaka ya hivi karibuni naomba anipe uzoefu. Au afanyaje ili apate maana mshahara ni mdogo hauwezi kutosheleza.
 
Umeajiliwa, inamaanisha ukitaka kwenda masomoni ni either mwajiri anakusomesha au unaomba mwenyewe kwa mwajiri ukajisomesha kwa gharama zako ( hapa ni kwamba unakubali kwamba unajiweza), mpk kufikia hapo utakua umepata jibu
Huwezi kupata mkopo kiufupi kama ni mwajiliwa.
 
Kama ofisi yenu iko vizuri boss anaweza kukupa pesa ya ada anakuweka keenye dokezo la safari then unapewa hio pesa ukajilipie mwenyewe
 
Inawezekana kabisa majamaa zangu wengi watumishi na wanakunja na pesa ya bodi vizuri tu bila shida
Bodo wanadai mtumishi anajiengua anakosa sifa ya kukopeshwa lakini awana system itakayo tambulisha waombaji ambao ni watumishi kwaiyo usisikilize sheria za bodi azitekelezeki tupo vibaya kwenye database zetu
 
Umeajiliwa, inamaanisha ukitaka kwenda masomoni ni either mwajiri anakusomesha au unaomba mwenyewe kwa mwajiri ukajisomesha kwa gharama zako ( hapa ni kwamba unakubali kwamba unajiweza), mpk kufikia hapo utakua umepata jibu
Huwezi kupata mkopo kiufupi kama ni mwajiliwa.
Sawa, nashukuru.
 
Inawezekana kabisa majamaa zangu wengi watumishi na wanakunja na pesa ya bodi vizuri tu bila shida
Bodo wanadai mtumishi anajiengua anakosa sifa ya kukopeshwa lakini awana system itakayo tambulisha waombaji ambao ni watumishi kwaiyo usisikilize sheria za bodi azitekelezeki tupo vibaya kwenye database zetu
Sawa sawa. Nitajaribu
 
Poa aisee nina mwanangu anajiita da hustla hata fb yupo cha ajabu mpk profile picture ameweka kama ya kwako hii
Coincidence tu mkuu, fb yenyewe nimetumia mara ya mwisho 2012 na nilikua natumia jina langu na profile picha yangu halisi.
 
1. Hivi mkuu ukisema tu ni wewe kwani Kuna ubaya gani? Kwanini tunakuwa wepesi kudanganya pasipo hata na sababu?

2. Kama ni muajiriwa bila kujali kama mkopo unaweza Pata au huwezi, ni bora ujibane ujisomeshe mwenyewe mkuu. Mkopo wa bodi unatesa Sana aisee ukimaliza chuo

3. Hata hivyo sio rahisi ku qualify kupata mkopo kwa muajiriwa
 
Back
Top Bottom