A43
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 385
- 757
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa
Ukiwa kwenye hali ya utulivu huwezi tambua uchungu wa maumivu ya mwenzio anayepitia kwa wakati huo, ndio maana wanasema pia uchungu wa msiba anayeujua ni mfiwa.
Uchungu wa mtoto anayeujua ni mzazi, tujifunze kutambua nakuthamini maumivu ya wenzetu.
Hii ndio tafsiri ya Utu. Ubin-a-Adamu, Thamani, na Upendo wa kweli.
Ukiwa kwenye hali ya utulivu huwezi tambua uchungu wa maumivu ya mwenzio anayepitia kwa wakati huo, ndio maana wanasema pia uchungu wa msiba anayeujua ni mfiwa.
Uchungu wa mtoto anayeujua ni mzazi, tujifunze kutambua nakuthamini maumivu ya wenzetu.
Hii ndio tafsiri ya Utu. Ubin-a-Adamu, Thamani, na Upendo wa kweli.