Safi na hii ndo formula yanguMoja kati tabia binadamu ambazo sizipendi!!!wakati nasoma o-level sikuwa ndugu wa maana!nilipofika chuo kikuu badae kazini ndugu waliongezeka!!!NA MIMI SITAKI UJINGA NIKAWAAMBIA TUISHI KAMA ZAMANI TU!!!
Jamn mbavu zangu mie, nmecheka xn had washkaj wamenishangaa.....Umaskini mbaya sana
Kwenye ukoo wetu mimi na vikao nashiriki lwa lazima la sivyo ntaenda kuosha masufuria staki kusikiliza upuuzi wanaoongea watu wenye hela na vile wanavyowasapoti. Sijawahi kutia neno maana ndio sie tunaoleta vurugu
hahahahaha cheka mwenzanguJamn mbavu zangu mie, nmecheka xn had washkaj wamenishangaa.....
Nguvu ya watu wenye hela kwenye koo zetu za kiafrika haitofautiani nguvu ya watu wenye vyeo vikubwa uko makizin kwetu
Maskini waeza toa hoja yenye mashiko lkn tajiri asipo ielewa na akaipinga basi jua ushafeli
Huko makazini kwetu pia mke wa boss hata aongee hoja ambayo haina msaada kwenye kampuni hakuna wakuipinga sa jifanye wewe unauchungu na kampuni km ya mjomba ako wk 2 mbele utaambiwa nenda kasalimie bibi ako ata km umetoka huko weekend iliyopita
Uongo mbaya pesa iko juu ya kila ktu
Ukiwa huna Ela,
Hata taarifa ya msiba HUPEWI kwa wakati.
Na hata ukipewa,
Hakuna atakayekusubiri ufike ndo wazike.
Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna ugonjwa mbaya humu duniani kama umaskini aisee πππππsanaa
Kwenye hivyo vikao hata round ya bia ikipita, kama huna hela, utasikia huyo mpeni mirinda nyeusi. Au ukichangia kitu tofauti na wengine na kama huna pesa, utasikia, huyo kashalewa, hata kama uko kwenye dozi ya malaria (ambayo hukataza kunywa pombe.
KweliKwenye vikao vya familia/ ukoo nguvu ya maamuzi inaongezeka, ila ukisimama mwenzangu na mimi kuchangia utaambiwa unaleta vurugu.
Naamini wewe bado ni binti mdogo, endelea kupambana, ipo siku utatoboaUmaskini mbaya sana
Kwenye ukoo wetu mimi na vikao nashiriki lwa lazima la sivyo ntaenda kuosha masufuria staki kusikiliza upuuzi wanaoongea watu wenye hela na vile wanavyowasapoti. Sijawahi kutia neno maana ndio sie tunaoleta vurugu