Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Adabu itoke wapi wakati huna hata Vitz ya kukopa. Utafata wanachotaka la sivyo unaleta machafuko na uchochezi ,Watoto wana kejeli wanachukua simu yako wanaiangalia wanakurudishia unaulizwa we mamdogo mbona hutumii Iphone asa hii simu gani? Hapo watoto wana vyombo vyote unavyoviota ukiokota hela ununue.. Ooh unanyamaza tu ukishakunywa juice ya matunda unakung'uta matako haya daladala liko wapi unasanzuka kwenu kusikokua na vitasa wala komeo huku ukijiambia nyumbani ni nyumbani hata kama kichakani, kukosa hela ni sehemu ya maisha
Hahahhaahhaa mama anamiliki fortuner.....dah!yaani unapita mulemulee! Ukifika hom upitie vigondi vya kuku upike ugali ule