DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,332
- 98,591
Ukiwa huna Ela,
Hata Kama Unawapigia simu au kuwatembelea Wazazi wako kila siku.
Bado utaonekana huna maana.
Utamskia mzaz akisema,
"Mwanangu James Ndie anaenijali, Jana kanitumia Laki 5 ya bia."
Ukiiangalia Uyo James, ana miaka 10 hajaenda nyumbani.
Wee kila siku unawajulia Hali wazee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Kama Unawapigia simu au kuwatembelea Wazazi wako kila siku.
Bado utaonekana huna maana.
Utamskia mzaz akisema,
"Mwanangu James Ndie anaenijali, Jana kanitumia Laki 5 ya bia."
Ukiiangalia Uyo James, ana miaka 10 hajaenda nyumbani.
Wee kila siku unawajulia Hali wazee.
Sent using Jamii Forums mobile app