casanova69
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 2,375
- 2,193
unataka nini kingine nikupeSawa karibu
unataka nini kingine nikupeSawa karibu
Kuwa mtulivu,mvumilivu, na mwaminifu utampata aliye sahihi na wakufanana nawe,wengi hukurupuka na kuishia kuzalishwa wakiwa makwaoHata mimi ndio malengo yangu hayo hayo ila nikimpata anayetaka hivyo namfanyia hivyo.
luku chakula na mavazi mimi yeye ni vitu vikubwa tu tena tunaanza ya bibi wote halafu nasisi pia
Nadhani Mungu ataniepushiaKuwa mtulivu,mvumilivu, na mwaminifu utampata aliye sahihi na wakufanana nawe,wengi hukurupuka na kuishia kuzalishwa wakiwa makwao
Nitakuambia pmunataka nini kingine nikupe
Nadhani Mungu ataniepushia[/Q
Sali sana ila kusali haitoshi,Maanisha unachokiomba nayo haitoshi kuwa na subira,nayo haitoshi Mtegeme Mungu
[emoji2][emoji2][emoji2]Haya mambo bana, isipokuwa makini utajikuta muda mwingi ili upendwe. Mimi naishi maisha yangu kwa manufaa yangu ukinipenda sana tu usipniipenda potelea pote.
Nakazia hapa ....yaani Mimi uniaidi gari halafu usinunulie lazima nikuache tu lazima.......kama kuna kitu sipendi basi ni kupewa matumaini hewa looooh .......endelea kukariri....
Truth will set you free.Viumbe wenyewe sisi?
Hatuchelewi kukuona bwege when you make too much effort.
Kila mwanamke anajuaga anachokitaka mda unapofika. So just be yourself daadeqi. No pretence.
Sijaelewa.Truth will set you free.
Huko huru since day one dada angu.
sahihi kabisa!Haya mambo bana, isipokuwa makini utajikuta muda mwingi ili upendwe. Mimi naishi maisha yangu kwa manufaa yangu ukinipenda sana tu usipniipenda potelea pote.