Jokajeusi
JF-Expert Member
- Jun 1, 2018
- 6,336
- 10,911
- Thread starter
- #141
Mwanamke anapenda pesa na mdinye kisawa sawa...! Hayo mengine mbwembwe tu...! Ukiwa na hivyo vitu 2 basi uko safe
Hivi unadhani utatiana maisha yako yote mkuu?
Hayo ni mawazo ya watu wasiokomaa kifikra. Ukifikisha miaka 50 utaeleza jambo jingine Mkuu.
Mtu ni utu si vitu, take from me. Unaweza ukawa una pesa na unamkaza mkeo vizuri na bado ukawa kituko tu kwake. Life ni natural na si Artificial