britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,209
- 41,776
Kwanini wanawake wengi ikatokea ukayumba kidogo au ukamwambia mpenzi wangu nisaidie kiasi fulani nitrejesha anasema sina, huku unajua anayo.
Tabia hii inakera sana
Tabia hii inakera sana
Wanawake wa kiafrika ndio wako hivyo. Nilikuwa na mchumba wa kizungu, tena mrembo haswaa kiasi kwamba tukitembea majamaa walikuwa wanampa miluzi kibao kila kona tukitoka out au tukitembea tu. Kwao ni matajiri sana, na baba yake ana private jet. Basi akaja tz, tukienda vacation mfano Dar au Zenj kutoka arusha tunakaa mahoteli ya $400 au zaidi kwa siku. Analipia kila kitu. Hata safari mafuta ya gari analipia yeye. Mimi anasema hela yangu niiweke kwa ujenzi tu. Tatizo alikuwa very controlling. Yani sikuwa na uhuru kabisa. Hapo ndio tukashindwana. Akarudi kwao akaolewa na mzungu mwenzake. Ilichukua muda mrefu sana maumivu kuisha. Pia penzi lake kwa kitanda hakuna hata mdada wa Tz hadi sass aliyemfikia. Kwa hio kama kwako kuwa controlled sio shida, tafuta mrembo mzungu. Ila binafsi pia kiuchumi niko sawa namshukuru Mungu. Kwa hio siwezi uza freedom yangu ili tu eti niwe na mzungu anayeni-control kila kituKwanini wanawake wengi ikatokea ukayumba kidogo au ukamwambia mpenzi wangu nisaidie kiasi fulan Ntrejesha anasema sina, huku unajua anayo,
Tabia inakera sana,
Hebu nipe connection ya hao wazungu namimi nifaidi mema ya duniaWanawake wa kiafrika ndio wako hivyo. Nilikuwa na mchumba wa kizungu, tena mrembo haswaa kiasi kwamba tukitembea majamaa walikuwa wanampa miluzi kibao kila kona tukitoka out au tukitembea tu. Kwao ni matajiri sana, na baba yake ana private jet. Basi akaja tz, tukienda vacation mfano Dar au Zenj kutoka arusha tunakaa mahoteli ya $400 au zaidi kwa siku. Analipia kila kitu. Hata safari mafuta ya gari analipia yeye. Mimi anasema hela yangu niiweke kwa ujenzi tu. Tatizo alikuwa very controlling. Yani sikuwa na uhuru kabisa. Hapo ndio tukashindwana. Akarudi kwao akaolewa na mzungu mwenzake. Ilichukua muda mrefu sana maumivu kuisha. Pia penzi lake kwa kitanda hakuna hata mdada wa Tz hadi sass aliyemfikia. Kwa hio kama kwako kuwa controlled sio shida, tafuta mrembo mzungu. Ila binafsi pia kiuchumi niko sawa namshukuru Mungu. Kwa hio siwezi uza freedom yangu ili tu eti niwe na mzungu anayeni-control kila kitu
% kubwa ya wanawake ni wabinafsi kuna mmoja mpaka ilipidi nimpige chini kwa hasira japo alikuwa mchepuko tu lakini nikianza nae kitambo sanaa tangu niko chuo wao ni family friend mpaka nikipokuja kuoa bado nlikuwa namega kisela tatizo lake ndo km hivyo ni mfanyakaz serikalin lakin ukimpanga apoint au akufate mkoa ulipo basi hata akitumia nauli yake atataka umrudishie hata akitumia boda ya buku atataka buku lake lirud nilivumilia yakanishinda nkamchana live siku moja nkapiga chini mazimaHuyo anaafadhali wengine sijui tunagundu nina wangu huyo kuja tu muonana na kupiga story mpaka umtumie nauli ya toyo na toyo ni buku ila yeye anataka utume buku tano utasema anapanda fast jet kwa wiki Ela ya toyo tu unakuta umetumia elfu 20
🤣Wanawake gani unamaanisha ? Kuna wanaume kibao wa Kiafrika wameolewa na wanawake wa kizungu Ulaya, kuna mpaka docu youtube huko Mombasa, Wanawake wanawachukuwa wanaume wanawalipia kila kitu wanawapeleka Ulaya wanawagharamia wakifika huko wanaoana na kuanzisha familia, hivyo labda useme Wanawake waliokuzunguka lkn siyo wote, na mara nyingi unazungukwa na watu ambao mnafanana, hivyo hata wewe siajabu uko hivyo hivyo sema haujajijua tu bado, ...
🤣Hebu nipe connection ya hao wazungu namimi nifaidi mema ya dunia
Ngoja nihamie zenji ... Tena Jana nilisoma thread inayo muhusu Hussein mwinyi akitoa pendekezo la kushushwa Kodi kwa wafanyabiashara bila Shaka patanifaa sana kule
Fuga dread....
Piga tizi...uwe mkakamavu na 6 packs kimtindo.....
Uwe unakwenda kushinda maeneo ya BEACH ambayo yana watasha....kule Zenji ni rahisi "kuton...ozwa na hivyo vinyanya vya kitasha"![]()

Hewaaa.....Ngoja nihamie zenji ... Tena Jana nilisoma thread inayo muhusu Hussein mwinyi akitoa pendekezo la kushushwa Kodi kwa wafanyabiashara bila Shaka patanifaa sana kule![]()
Aisee ngoja nichangamkie fursa fasterHewaaa.....
We ukifika ishi Kama wale mayanki wa Rio de Janeiro washindao Copa Cabana beach....![]()
Hukuwa na commitment mzeeWanawake wa kiafrika ndio wako hivyo. Nilikuwa na mchumba wa kizungu, tena mrembo haswaa kiasi kwamba tukitembea majamaa walikuwa wanampa miluzi kibao kila kona tukitoka out au tukitembea tu. Kwao ni matajiri sana, na baba yake ana private jet. Basi akaja tz, tukienda vacation mfano Dar au Zenj kutoka arusha tunakaa mahoteli ya $400 au zaidi kwa siku. Analipia kila kitu. Hata safari mafuta ya gari analipia yeye. Mimi anasema hela yangu niiweke kwa ujenzi tu. Tatizo alikuwa very controlling. Yani sikuwa na uhuru kabisa. Hapo ndio tukashindwana. Akarudi kwao akaolewa na mzungu mwenzake. Ilichukua muda mrefu sana maumivu kuisha. Pia penzi lake kwa kitanda hakuna hata mdada wa Tz hadi sass aliyemfikia. Kwa hio kama kwako kuwa controlled sio shida, tafuta mrembo mzungu. Ila binafsi pia kiuchumi niko sawa namshukuru Mungu. Kwa hio siwezi uza freedom yangu ili tu eti niwe na mzungu anayeni-control kila kitu
