Gsana
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 4,383
- 1,321
- Thread starter
- #21
kwani mmesahau ya zombe?
ile si walisema walikosea mashtaka kuwa zombe aliua badala ya kuwa alishiriki. Kweli mahakama haikumkuta na kosa la kuua,ila jaji akashauri next time wamchunguze kwa kushiriki mauaji na si kwa direct kuua. Full komedi?