yaani acha njia hii waijue wadada wote.manake mmezidi sasa,yaani jitu hata halikujui eti linamwaga sera! mie straight forward tunaanza ku-negotiate mahari kabisa,babangu ntamalizana nae mwenyewe!
yaani acha njia hii waijue wadada wote.manake mmezidi sasa,yaani jitu hata halikujui eti linamwaga sera! mie straight forward tunaanza ku-negotiate mahari kabisa,babangu ntamalizana nae mwenyewe!
Huyo hajanuna, ni mbaya tu kama demu wangu wa zamani (Mhehe). Alikuwa mbaya ila kwenye game nilikuwa namkubali.
Duh! Umenikumbusha mbali jamani, dem mwenyewe alikuwa fundi magari .....
hao ndio wazuri fundi magari ,sonara wapiga debe mnaokimbilia wenye mekiapu mara sijui yuko baclays mnakutana na MGENI mnaanza kulalama
mgeni huyu mgen huyu balaa ameingia chumban kwa baba na mama wamemwagiwa upupu mgen huyu afai
ONYO
UKIMWI UNAUA