bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 757
- 1,020
Habari wakuu!
Naomba kueleweshwa, ikiwa mwanamke anayetumia kijiti Kama njia ya uzazi wa mpango atatoa kijiti kabla ya muda wake wa matumizi kufika, mfano kijiti Ni Cha miaka mitatu yet akatoa baada ya mwaka mmoja,
Je, itachukua muda gani kwa yeye kupata mimba?
Naomba kueleweshwa, ikiwa mwanamke anayetumia kijiti Kama njia ya uzazi wa mpango atatoa kijiti kabla ya muda wake wa matumizi kufika, mfano kijiti Ni Cha miaka mitatu yet akatoa baada ya mwaka mmoja,
Je, itachukua muda gani kwa yeye kupata mimba?