ukitaka raha.......................... .............................. .............

ukitaka raha.......................... .............................. .............

Cpati picha kama man cty acngekua na kiwango hiki ungekuta man u tunakaribia kutangaza ubingwa.
 
kama Rais wa chit chat, nakupa saa 1 kuomba msamaha kwa kuleta topik ya maumivu hivi chit chat.

Anyway, chelsea for life.
 
Watu wanashindwa kuelewa, kila timu huwa inabadilika badilika kulingana na mazingira mbalimbali, kama unaona raha Man U ya leo kesho utapata presha vilevile kama Arsenal, ndivyo michezo ilivyo! Ubingwa wa kila siku kwa timu moja haileti utamu!
 
Back
Top Bottom