Saint_Mwakyoma
JF-Expert Member
- Jun 8, 2019
- 865
- 1,204
Ukitaka upate chochote kutoka kwa mtu unaehisi unampenda pana vitu viwili vya kufanya.
1) JIPIME UNA HAKI YA KUPENDWA NA YEYE
Mapenzi ni nguvu ya uvutano wa kihisia . hayachagui wala hayabagui ,
Haki ni uhalali wa kupata unachostaili.
unatakiwa kutengeneza vivutio vitakavyokupa uhalali wa kupendwa kwa mpenzi
(get to know him or her before crossing boundaries) haiwezekani kirahisi kupendwa wakati
hauna ukaribu,hamjawai kukutana
kwenye tukio lolote alafu ukatongoza ukakubaliwa bila kuonyesha vivutio flani (HAKI). hakuna mtu anaye
penda watu wachafu wa mavazi,tabia,mazungumzo , mawazo. PESA sio kigezo cha kupendwa kwa dhati
unaweza pendwa kwa dharula (emergency) . mapenzi ni zaidi ya ngono ni kupeana furaha kubadilishana
hisia kifupi kusisimuana , UWEZI KUPENDWA KAMA KILA SIKU UNALETA KERO TU.
2) UAMINIFU
Uaminifu ni kitendo cha kuthamini hali ya mwenzako kabla ya hali yako binafsi.
Mapenzi yananogeshwa na uaminifu hivi utajiskiaje pale mpenzi wako kwa mfano anakwambia nipo
sehemu fulani na ukaenda kwa kushitukiza na kweli ukamkuta inaleta raha na kunogesha penzi .
mapenzi hayapo kama uhaminifu hamna .
HAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAHA NAONGEA KAMA MTU VILE TULIO SINGLE KWELI TUME LAANIWA ALAFU UMENIAMINI ETI
1) JIPIME UNA HAKI YA KUPENDWA NA YEYE
Mapenzi ni nguvu ya uvutano wa kihisia . hayachagui wala hayabagui ,
Haki ni uhalali wa kupata unachostaili.
unatakiwa kutengeneza vivutio vitakavyokupa uhalali wa kupendwa kwa mpenzi
(get to know him or her before crossing boundaries) haiwezekani kirahisi kupendwa wakati
hauna ukaribu,hamjawai kukutana
kwenye tukio lolote alafu ukatongoza ukakubaliwa bila kuonyesha vivutio flani (HAKI). hakuna mtu anaye
penda watu wachafu wa mavazi,tabia,mazungumzo , mawazo. PESA sio kigezo cha kupendwa kwa dhati
unaweza pendwa kwa dharula (emergency) . mapenzi ni zaidi ya ngono ni kupeana furaha kubadilishana
hisia kifupi kusisimuana , UWEZI KUPENDWA KAMA KILA SIKU UNALETA KERO TU.
2) UAMINIFU
Uaminifu ni kitendo cha kuthamini hali ya mwenzako kabla ya hali yako binafsi.
Mapenzi yananogeshwa na uaminifu hivi utajiskiaje pale mpenzi wako kwa mfano anakwambia nipo
sehemu fulani na ukaenda kwa kushitukiza na kweli ukamkuta inaleta raha na kunogesha penzi .
mapenzi hayapo kama uhaminifu hamna .
HAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAHA NAONGEA KAMA MTU VILE TULIO SINGLE KWELI TUME LAANIWA ALAFU UMENIAMINI ETI