Ukitaka kuoa tafuta bikra

Duh hiyo ya nyuma Sasa kitu kingine!Kuna demu nilimtesti kwamba kwa sababu ameshatolewa bikra ya mbele itakua vyema akinitunuku ya nyuma ila aweananiheshimu Kama mwanaume wa kwanza nyuma! Baada ya kumbembeleza Sana kakubali! Wanawake Hawa cheza na akili zao tu!
ukailamba?
 
Ukiona hivyo yalinikuta! demu wangu aliniambia hawezi kumsahau jamaa wake wa kwanza nikaona solution Ni KUOA bikra.niwashauri vijana pia.
Ni kweli mkuu,,tena wanasema kuoa mwanamke sio bikira ni sawa na kuoa mke wa mtu
 
Ni ushauri kwa vijana wenzangu wanaofikiria kuoa.Kumbuka mwanamke huwa sio rahisi kumsahau mtu aliyewahi kushiriki naye tendo la ndoa.Hivyo akikutana na mtu aliyewahi kushiriki naye tendo. Ni rahisi Sana kuchepuka bila ya kujali yupo kwenye ndoa.Ili kuondokana na hii adha ni kutafuta mwanamke ambaye hajawahi.Mafundisho ya biblia yanatuasa tusizini kabla ya ndoa maana adhari yake Ni kubwa haswa kwa wanawake.Wanawake ambayo hawajawahi kabisa wapo Kama bajeti inaruhusu unaenda zako nchi za uarabuni unajipatia brand new unamleta bongo mnaishi kwa Raha mstarehe.Ahsanteni.
Kwa mabinti wa kisasa kumpata binti bikra ni ngumu kama kuona nyoka mwenye tako
 
Mkuu kuwa makini tu na huyo bikra wako. Mimi yalishanikuta na hao unaowaita bikra. Akibadilika anabadilika kweli.

Kama unataka kuoa oa mtu mnayeendana anayekupenda na unayempenda, mwenye tabia njema na mnyenyekevu.

Usiangalie bikra tu.
Ukiiweka hii kwenye muktadha ina maana wanawake ambao ni wenye bikra ni wenye umri mdogo 18-22 hapo.kweli Hawa wanakua Bado wadogo na wanataka kujaribu Kila kitu.ila ukiamua kumtuliza unaweza mwanamke mwenye rika hilo.wanawake wazima pia wana umuhimu wao mkuu.wengi hutulia kwenye ndoa maana hawana pakwenda ila ndio hiyo unakuta fuko la rambo na inabidi ukubaliane na hali halisi
 
Na unaamini hautamegewa? Unataka nikushauri au nikuache na uelewa wako ulipokwamia?
Kwenye kumegewa Sasa inategemea na mwanamke mwenyewe utu na tabia yake.lakini kupunguza hizi adha za mwanamke kuwa anakumbuka yaliyopita Ni Bora kutolipa hili nafasi.
 
Kwenye Nia pana njia ila ndio utatafuta Sana.kama huna Nia na mabikra mkuu kuwa makini na mademu wa kawaida wa adha za ajabu sana
Bikra nae ni shida.

Siku akijalibu mpingo tofauti atataka kujaribu aina mbalimbali za mipingo kufurahia utofauti huo. Nunua mtumba una mazoea ya kuvaliwa mkuu
 
Ukiiweka hii kwenye muktadha ina maana wanawake ambao ni wenye bikra ni wenye umri mdogo 18-22 hapo.kweli Hawa wanakua Bado wadogo na wanataka kujaribu Kila kitu.ila ukiamua kumtuliza unaweza mwanamke mwenye rika hilo.wanawake wazima pia wana umuhimu wao mkuu.wengi hutulia kwenye ndoa maana hawana pakwenda ila ndio hiyo unakuta fuko la rambo na inabidi ukubaliane na hali halisi
Hivi unawezaje kumtuliza mwanamke rika hilo kwa mazingira yetu haya?

Unajua mambo mengine kufikirika ni rahisi shida inakuja kwenye uhaisia.

Unajua mwanamke ili atulie kwenye ndoa lazima awe matured enough, na mpaka kuwa mature huko bado umkute na bikra huo ni muujiza ingawa unaweza tokea.
 
Km 0 ni mbele tu Ila nyuma hawa wanawake wanakuwa wazi kabisa , tafakari!
Nalog off
 
Hivi unawezaje kumtuliza mwanamke rika hilo kwa mazingira yetu haya?

Unajua mambo mengine kufikirika ni rahisi shida inakuja kwenye uhaisia.

Unajua mwanamke ili atulie kwenye ndoa lazima awe matured enough, na mpaka kuwa mature huko bado umkute na bikra huo ni muujiza ingawa unaweza tokea.
Mazingira ya Sasa sio rafiki kabisa ila ni nyakati.Historia inatuhukumu kwanini bikra sio kitu Cha muhimu sasa.mwishowe watu wataanza kuona kuchepuka na mke wa mtu Ni Jambo la kawaida na sio uzinzi.
 
Ni ushauri kwa vijana wenzangu wanaofikiria kuoa.Kumbuka mwanamke huwa sio rahisi kumsahau mtu aliyewahi kushiriki naye tendo la ndoa.Hivyo akikutana na mtu aliyewahi kushiriki naye tendo. Ni rahisi Sana kuchepuka bila ya kujali yupo kwenye ndoa.Ili kuondokana na hii adha ni kutafuta mwanamke ambaye hajawahi.Mafundisho ya biblia yanatuasa tusizini kabla ya ndoa maana adhari yake Ni kubwa haswa kwa wanawake.Wanawake ambayo hawajawahi kabisa wapo Kama bajeti inaruhusu unaenda zako nchi za uarabuni unajipatia brand new unamleta bongo mnaishi kwa Raha mstarehe.Ahsanteni.
Na weye uhakikishe upo Bikra! Huko arabuni wengi wamefumuliwa mitaro ya maji taka, we jidanganye! Siyo lazima kuzini na x wake! Hiyo ni hulka tu ya mtu binafsi! We omba Mungu atakupatia wa kufanana nawe😂🤣😂!
 
Back
Top Bottom