VentureCapitalist
JF-Expert Member
- Mar 12, 2018
- 402
- 539
Ni ushauri kwa vijana wenzangu wanaofikiria kuoa.Kumbuka mwanamke huwa sio rahisi kumsahau mtu aliyewahi kushiriki naye tendo la ndoa. Hivyo akikutana na mtu aliyewahi kushiriki naye tendo. Ni rahisi Sana kuchepuka bila ya kujali yupo kwenye ndoa.
Ili kuondokana na hii adha ni kutafuta mwanamke ambaye hajawahi. Mafundisho ya biblia yanatuasa tusizini kabla ya ndoa maana adhari yake Ni kubwa haswa kwa wanawake. Wanawake ambayo hawajawahi kabisa wapo Kama bajeti inaruhusu unaenda zako nchi za uarabuni unajipatia brand new unamleta bongo mnaishi kwa Raha mstarehe.
Ahsanteni.
Ili kuondokana na hii adha ni kutafuta mwanamke ambaye hajawahi. Mafundisho ya biblia yanatuasa tusizini kabla ya ndoa maana adhari yake Ni kubwa haswa kwa wanawake. Wanawake ambayo hawajawahi kabisa wapo Kama bajeti inaruhusu unaenda zako nchi za uarabuni unajipatia brand new unamleta bongo mnaishi kwa Raha mstarehe.
Ahsanteni.