Ukitaka kuoa au kuolewa usukumani, yajue haya

UJUE KILA JAMBO NA HISTORIA YAKE
CHAGULAGA

Chagulaga ni neno la kisukuma likiwa na maana chagua
Chagulaga limeanza miaka ya 1980s hapo awali haikuwapo hii ni kutokana na kuaanza kuporomoka kwa maadili ktk jamii ya kisukuma

Mwanamke aliyekuwa kaachika ilikuwa ni mkosi sana ktk jamii hii alijulikana kama "ishimbe hivo alionekana anamkosi ktk jamii.

Baada ya ngoma kuvuka watu wakishindana iliyojulikana kama" beni" manju wengi wakiwamo akina Tagala, Ngwa'nagandela, mlyambelele, mhembo na wengine wengi walishindana kwa ngoma na kucheza.

Kwa kawaida ngoma hizi zilimalizika mda wa saa kumi jion na mshindi kukabidhiwa zawadi zake kama kawaida watu waliendelea kusherehekea ushindi na kuburudika kwa story kula vyakula vilivyokuwa vikiuzwa pamoja nyama choma miwa nk

Majopo ya wachezaji yalibaki na yawezekana yaliondoka kesho yake au baada ya kesho yake uck ulipoingia watu waliendelea kulandalanda wakiwemo wacheza ngoma wenyewe

Ktk usukuma mwanamke saa kumi na mbili alitakiwa kuwa ndani sasa ikawa inatokea wanawake wanakuwepo mpaka saa 6 uck na sio moja ya wacheza ngoma , ndipo wacheza ngoma wakaanza kuhoji mpaka saa 6 uck mwanamke uko ngoman na ww si mchezaji unachotaka ni nn? Sasa wengi wao walikuwa washimbe yaani walioachika kwa waume zao . Wacheza ngoma wakawa wanafikia uamzi kuwa hawa wanatafuta wanaume haiwezekani kuwa mpaka saa 6 uck mtt wa kike unalandalanda peke yako


Ndo wakaanza kusema hawa wanatafuta wanaume ndo wakaanza tabia ya kuwazingira na kumweka kati na kumlazimisha achague mwanaume akampe mbele aikamue basi ndo mwanzo wa chagulaga na baadae kuendelea maadili kupungua mpaka hata mchana vijana wasiojua ni nn chimbuko wanaanza tu chagulaga


Wamelikwepa hili wengi nimeamua kufunguka
Ndimi
Msukuma nisiyejificha
 
Wasukuma ni watu wenye msimamo na wasiopenda uongo.
Huwezi ukasema hili kesho ukasema lile alafu bado ukashangiliwa tu.
Ukienda usukumani unatakiwa unyooshe maelezo
.
Mkuu una maanisha baba mwenye nyumba sio msukuma????
 
Don't be ridiculous. Kila mtu akija kujadili kabila lake humu, tutaelewana vipi? Tutabaki kweli watanzania, au tutaendelea kuwa Wasukuma, Wanyakyusa, Wachagga, Wajaruo, n.k??
What's wrong with telling other people about your culture...
Kueleza utamaduni wako ni ukomavu.. Na ni dalili njema ya kukaribisha urafiki na mashirikiano..
Jamii maskini kabisa ni ile ambayo haina utamaduni..
 
1. Wasukuma ni kabila kubwa kuliko yote Tanzania. Mikoa ya Simiyu, Tabora, Shinyanga, Geita, Mwanza kote huko ni usukumani.

2. Usukumani siyo lelemama, kuna Kazi nyingi kama kushinda shambani, uvuvi, kushinda machimboni ,ikiwemo kutunza maelfu ya mifugo hasa Ng'ombe etc

3. Wasukuma ni extended family, siyo ajabu mtoto wa shangazi akakulia kwa baba mdogo na akalipiwa ada bila ubaguzi wowote. Kwa hiyo jiandae kuwa na familia kubwa yenye upendo kutoka kwa ndugu wengine.

4. Wasukuma ,baba ndio head of the family, mama ni msaidizi tu na siyo lazima ushauri wake ufuatwe

5. Usukumani familia ni namba moja. Kwa hiyo hata kama ni tajiri lakini huna familia utadharaulika sana .
Hali hii huwalazimisha wanaume kujali familia zao. Matokeo yake wanaume wa kisukuma huonekana wanajua kupenda.

6. Mwanza linakopatikana ziwa la pili kwa ukubwa duniani (Ziwa Victoria) ilifikia hadhi ya jiji mwaka 2000 . Kwa hiyo Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa baada ya jiji la Dar.

7. Usukumani muoaji hupokelewa kifalme na mke hupokelewa kama malkia.
Kama siyo mchoyo na mwenye zarau, usukumani utaishi kwa raha sana

8. Usukumani amani ni namba moja.
Mtu yoyote au kikundi cha watu kinachotishia amani, huondolewa mara moja kupitia nguvu ya uma. Kama ni mkorofi mpenda fujo, utaishi kwa shida sana kwa sababu utatengwa na jamii nzima.

9.Wasukuma ni watu wenye msimamo na wasiopenda uongo.
Huwezi ukasema hili kesho ukasema lile alafu bado ukashangiliwa tu.
Ukienda usukumani unatakiwa unyooshe maelezo.

10 . Wadada weupe hawapati shida ya kupata wachumba.
Ukiwa mweupe hata uwe na tabia mbaya mbaya utanyooshwa tu na kuolewa.

Kama wewe ni mweusi alafu una tabia mbaya mbaya, sahau kuolewa, kwa hiyo kwa mweusi kuwa na tabia nzuri ni lazima.

11. 90% of Cotton grows in Sukuma land
Ha ha ha haaaa!! bhe bhe angu nimecheka sana ila umesahau vitu viwili

1. Wana kiherehere sana na vimbelembele kupita maelezo ... wanapopata bahati ya kujua jambo moja la kisasa basi wanahisi wanajua kila kitu

2. Kila wanachofanya wao hua kizuri zaidi, mfano kama wote mmekwenda dukani kununua shati na ikatokea mmenunua shati la aina moja rangi moja na ha bei moja usishangae la kwake akakutambia kua ni zuri kuliko lako ... sasa pata picha ikiwa kanunua lakwake tofauti afu kalinunulia ilaya ... ha ha haaa mtajuta

Mfano mzuri muangalie Daudi Bashite na vituko vyake Instagram is exactly tabia za wasukuma walio yatoa kutoka moja kwa moja kukaya!! na sio waliozaliwa mjini

Ha ha ha ha haaaaa ... hatujapishana sana na sisi Wanyamwezi so nawajua vizuri niwajomba zangu ha ha ha haaa

Mami Wabheja sana!!!
 
kuu unachekesha sana.. jf ni pana sana, kuna majukwaa hayo wanajadili hayo ulioyataja! nenda huko utayakuta. hapa ni mapenzi, mahusiano na urafiki.. baaaasi

I am serious. Hakuna majukwaa ya kuongelea ukabila katika nchi hii.
 
Nenda jukwaa linaitwa MAKONDA, huko utapata habari hizo unazotaka.
Stop taking nonsense Mkuu. Acheni kuleta mambo ya ukabila kwenye public forums. I believe you know what I am talking about, lakini mnataka tu kuleta mambo ya political correctness.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom