Ukitaka kummaliza mmeo, kuwa malaya

Ukitaka kummaliza mmeo, kuwa malaya

Hizo sifa nyingi ulizozitaja hapo mi czipendi na wala huwa sihangaiki nazo kwa msichana mi ugonjwa wangu ni vi mount meru tu pale juu visimame vizuri sio viwe vimelala kama ndala za bata zilizochoka
kama umesoma ulaya wewe ni exceptions, idadi yenu sio kubwa, nyie ni negligible
 
Hizo sifa nyingi ulizozitaja hapo mi czipendi na wala huwa sihangaiki nazo kwa msichana mi ugonjwa wangu ni vi mount meru tu pale juu visimame vizuri sio viwe vimelala kama ndala za bata zilizochoka
kama umesoma ulaya wewe ni exceptions, idadi yenu sio kubwa, nyie ni negligible
Ahahah negligible ukimaanisha ≈ 0 (we are approaching to zero.?)
 
mie najipendea mabeki tatu, hasa kale kaharufu flani hv ukipishana nao
 
Wanaume wenzangu mnisamehe bure
Leo natoa siri ya upande wa kiumeni ambayo wanaume wengi huwa hatuwaambii wake zetu, ila tukiwa vijiweni, hii ndo topic wanaume wote huwa tunakubaliana.

Iko hivi , kila mwanaume anatamani sana mpenzi wake amfanyie mambo ya kihuni na u malaya ila aendelee kuwa mwaminifu kwa mpenzi wake.

Demu anaejua kucheza mziki kwa kukata mauno, Hakuna mwanaume asiyevutiwa nae

Demu anaejua kukonyeza na kuongea maneno yanayonyegesha huwavutia wanaume wote

Demu anayejua kuvaa mavazi ya kikahaba chumbani, tight, top, bikini, kuboost nyonyo, min skirt etc..... Hupendwa sana na wanaume wote.

Above all, hata Asipokuambia mmeo, wanaume wote wanapenda chura, aka. Wowowoo, kishudu, kichuguu, msambwada...... Mbumbuli


Guys come up and prove me wrong....

A woman in the streets but a freak in the sheets.
 
usingetumia neno malaya, hilo linamaana tofauti kabisa. labda ungesema awe mbunifu au mtundu.
 
Babu pliiz Amkaa, ukuje uone Vijana Wa Leo, siku hiz hawapendi tena samaki, Bali wanapenda chura, Hata Viatu Siku hiz hawavai Na soksi, Ukiona surual wanazovaa ndo utakimbia, hazikusi kiatu
 
Hiyo "kuwa malaya" ndio imenifanya nisome, kumbe sio umalaya ule , maana ningeshangaa mwanaume gani anapenda mwanamke wake awe malaya,

Any way, ulichoandika ni funzo kwa wanawake kwamba wawe sexy wawapo na wanaume wao basi kwakufanya hivyo waume zao watapunguza michepuko
 
Back
Top Bottom