mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,606
- 4,393
- Thread starter
- #81
Kumbuka hapo ukija kupatwa na lolote wazazi wako lazima watakulaumu..
Naona hawapo upande wako maana wao wanaamini kanisa lao..
Yeah naelewa but sitaki kuendelea na zinaa naona mtu yupo tayari na Mimi najisikia wito wa ndoa ni bora niende tu
