mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,606
- 4,393
- Thread starter
- #41
Nenda Kwa mchungaji mwambie unatafuta mume.Mchungaji atamsubiria kijana yeyote mwenye Nia ya kuoa.Mtaingia kwenye maombi ikiwemo mchungaji kama ni mpango wa Mungu utaolewa naye mtaishi Kwa raha.
Mshirikishe Mungu Sana.
Hiyo Logic yako nafikirii sio kwa wachungaji wote wataelewa
Kwa umri wangu watanishangaa niseme natafuta mume
Pia sitaki Kijana yoyote nataka yule mwenye vigezo vyangu sio wa kutafutiwa nataka wa kunitafuta mimi sio mimi nimtafute yeye

