DungaMawe
JF-Expert Member
- Jul 31, 2022
- 1,525
- 4,659
Hili jibu
Hili jibu
Wewe Umeolewa?Chunguza tena nasema chunguza...
Sio Kila ukoo inafaa kuoa au kuolewa...
Chunguza kiroho na kimwili...
Ni mtu wa kabila gani?
Labda hapa ukijua utaweza kuuliza watu wa kabila lake..
Kuna wanasema kabila halina maana ila hawajui linamaana kubwa kwenye suala la kuingia agano la ndoa
Ahaa kama ndiokwanza mmeanza hapo yafaa umchunguze ili ujiridhishe!
Japo kuna vitu huwezi vijua kwa harakaharaka au pale mwanzo but as days goes ndio utavigundua!
Waende na mchumba wake kwa mchungaji ambaye ana macho ya Rohoni, ombe alafu ataoneshwa kuwa ni wake au sio wake ajue moja...Nenda Kwa mchungaji mwambie unatafuta mume.Mchungaji atamsubiria kijana yeyote mwenye Nia ya kuoa.Mtaingia kwenye maombi ikiwemo mchungaji kama ni mpango wa Mungu utaolewa naye mtaishi Kwa raha.
Mshirikishe Mungu Sana.
Mindset ya nyie wanawake kuweka mbele pesa, kuliko aina ya tabia ya mtu unaeolewa nae, ndo inawafanya wengi mumchague baraba kama mume na kumkataa Yesu (mume mwenye nia nzuri na nyie).
Mfano mzuri ni my late mother may she rest in peace alichagua baraba(baba yangu) na kumwacha mume mwema hali iliyopelekea afariki mapema mamamzungu
Kuna vingine utagundua taratibuuu! take time umjue vizuri !Kuna vitu vichache sana nafahamu kumuhusu
Mfano.. umri , elimu,kazi yake, watoto anaomiliki na mahusiano yake na wazazi
Nitafute hela kwani me ndo nimezipoteza


sasa wewe hata gari ya urithi umesema huna utaishije sasa tatufa tu hela mkuuUsije kuweka mitihani ya kumpima.. binafsi nachukia sana kupimwa uaminifu wangu kwa kuwekewa vimitego uchwara.
Kuna mmoja nikamwambia kabisa wee nipime tu, nikianza mie kukupima usianze kulia lia.
Mkono mtupu haulambwi... Hayanaga muongozo...
Waziii afandeKwa afya, ustawi na usalama wa moyo na mahusiano yenu; Better not!
ufunge uziiIli ndoa yako ifike mbali achana na hicho unachotaka kukijua,si umempenda? Sukiliza anachokwambia Acha kujitia mwana historia,mapenzi hayana historia wala background.
Anaweza akawa alikua mchungaji mtakatifu kumbe Ushetani akaja ku uanzia kwako.
Anaweza akawa alikua mpotofu asie na future player wa hisia za wanawake kumbe Kutulia akaja anzia Kwako.
Achana na unachotaka kufanya, Kama Una mashaka Nae Muache, Hujampenda.
Asante dearhakuna haja ya kumchunguza maana ukimchunguza itabidi uanze maisha ya kuigiza. hivyo mkaendelea na maisha yenu bila kuchunguzana waliosena ukimchunguza sana bata humli hawakukosea...
Uchunguze vile vya msingi tu hayo mengine achana nayo!Yeah nimefikia pia hilo hata mimi nina mambo yangu ya nyuma akisema anifuatilie sijui hahaha
Sema napata pressure navyoambiwa nimchunguze
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...Yanayo bhn