Colonel McCoy
JF-Expert Member
- Aug 15, 2023
- 313
- 616
MfanoNabii huwezi muona au kumjua kwa macho yako ya nyama...
Nabii utaweza kumjua kwa macho ya Rohoni,...
Wengi wanapinga Manabii sababu tu ya like neno watakuja Manabii wa uongo, lakini pia wapo waliokuja wa kweli...
Unaweza nipa jina la nabii wa kweli kwq mujibu wa maoni yako?