Ukitaka kumchunguza mwanaume

Ukitaka kumchunguza mwanaume

Wewe Umeolewa?

Ukoo, Kiroho, Kimwili .!! Mwanaume kabisa umchunguze kwenye ayo maeneo?

mwanaume mwenye malengo nawewe yupo radhi kukufanyia chochote ilimradi ubaki kwenye himaya yake[kama ni umalaya atapunguza, kama ni kusali ataanza, n.k]. sasa ukijitia ujuaji wa kumchunguza tu umeisha.
Kufanya chochote kile??!!, Kwangu mimi sio kweli. Hata kama napenda sana Huwa nina mipaka yangu. Siwezi kufanya kila kitu.
 
Kama n yule aliekataliwa na bradheri yako jipe muda wa kujua zaidi kabla hujayakanyaga
 
Kwanini usifanye homework yako vizuri kwa hiyo miaka 2 ya mahusiano yenu?. Ndoa sio jambo la kuzimia moto, inahitajika utulivu wa hisia na akili kwenye hiyo taasisi hakuna trial and error ukiyatimba ni moja kwa Moja. Fanya homework yako vizuri
 
Mtu hawezi kufake tabia kwa muda mrefu kama ana tabia mbaya utaona haraka anavyokutreat
 
Back
Top Bottom