Ukitaka kumchunguza mwanaume

Uchawi ndio funga kazi, maana ni agano la kiazazi na kiazazi...

Mikosi, kafara, magonjwa...

Uchawi ni balaa
 
Hapana babu kuna vitu ni lazima uvijue mapema!
Kuna vitu atavijua wakishakuwa kwenye mahusiano ya kawaida ya walau mwaka mmoja.

Ingawa changamoto iliyopo ni hiyo ya Umbali.

Kuna mtu mkiwa mbali mbali inakuwa vigumu kuweza kumjua as mnakutana mara chache.

Aombe namba za ndugu wa Mwanaume iwe Dada/Kaka/ Mjomba/Bibi yaani yeyote ili awe anamchota taratibu kumjua huyo mume wake mtarajiwa.
 
Uko sahihi,kuna familia ukiolewa utajuta
Nakushauri kama kwa hiyo miaka 2 bado hujafanikiwa kumjua endelea tu kudate nae kwanza ugundue vitu vile vya msingi kuhusu huyo jamaa na familia yake
Ujitahidi ufike kwao nna uhakika utaelewa aina ya familia aliyonayo!
Kuishi na mtu sio ishu ndogo japo hakuna malaika ila afadhali kuna ambao unaweza kuishi na madhaifu yao!
 

Mama pia kaniuliza hilo jambo sina jibu nitajuaje sasa kama sio ama ni mshirikina
 
Kweli Kabisa babu!!
 

Huko kwao nafikaje dear nipo mbali zaidi ya kilo meter 1600
 
Kumbuka hapo ukija kupatwa na lolote wazazi wako lazima watakulaumu..

Naona hawapo upande wako maana wao wanaamini kanisa lao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…