Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
- Thread starter
- #21
jamaa kama ni mpenzi wa brandy get him the best vsop usijali bei na kama ni whysky achana na ma red label we ambaa na black,blue au gold au ma chivas ya ukweli,hali kadhalika na wine dodoma wana wine high quality siku hizi kama 'The President',we wekeza tu dear italipa.usijali tulishaanza msingi ila naona jamaa kama anataka kusepa sasa baada ya kusoma mwongozo nimeona nime lack baadhi ya vitu ngoja niviimalishe then nyumba ikiisha ntakualika tena uwe mgeni rasmi.
(ps: usisahau kumpokea wearing the right negligee ,see through?)