Q'LE GENGSTA
Member
- Aug 15, 2012
- 7
- 1
kama ni hivyo hata mimi shangwe tuuuuuuuuuuuuuu
mkuu ucwe na wasiwasi hilo neno wamelitoa nadhan kwa kila m2
mkuu mbna hawa jamaa watatua kwa presha
TCU imeshindwa kazi yake!! maana kila kukicha kuna janga jipya.
Thanksapplicant who are not selected first round check TCU Website
kijanaa weka hapa hayo majina matano ulochagua then relate na link hii we wee!! Selection Results for academic year 2012/2013 then kila mtu ahakikishekusema kweli haya majina cya tcu kwasababu nimechukua majina kma tano nikaenda kugoogle kuona matokeo yao ya 4m6 hamna hata moja lililoonye na kwa faculty kma economic and finance ilikuwa na slots 100 hapo wamewekwa watu 8 tu.
hapa ni kutulia tu....
embu niambie 2nd round applctn yako iko actve au?