FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Computer utaweka kila chumba kitakachobaki ni mteja kuja na modem yake kwa ajili ya internet,kama hana basi aje na flash ya nyimbo au device nyingine,TV pamoja na maji ya moto,na ofa ya polisi wawili kulala Bure hotelini kwako utakuwa umeweka ulinzi bila wao kujua.naiomba serikali iamlishe kila mwenye guest aweke mfumo wa maji ya moto ya kuoga.
Kwa wazo hili LA computer ni jipya,natumai mmiliki wa Kilimanjaro Hotel HyattRegent atanipa usiku mmoja Bure kulala hotelini kwake.
Kwa wazo hili LA computer ni jipya,natumai mmiliki wa Kilimanjaro Hotel HyattRegent atanipa usiku mmoja Bure kulala hotelini kwake.


