Ukistaajabu ya Escrow utaona ya Mwakyembe

Ukistaajabu ya Escrow utaona ya Mwakyembe

Katika baraza lenye mawaziri wabovu kama lile ni rahisi kugundua kuwa udatudanganya kuhusu Mwakyembe. una wivu na chuki binafsi na mwakyembe. Tulikuwa tunalia mizigo yetu ilivyokuwa ikipotea bandarini wacha upuuzi wako bwana weee
 
Mimi nimpongeze kwa kuweza kufanya kazi na Kaimu Mtendaji Mkuu wa Bandari, Madeni Kipande kwa muda wote huo. Inahitaji kuwa na roho ngumu kama ya PAKA kuweza kumvumilia huyu ndugu. Ila sielewi hicho kiburi anakipata wapi kwa sababu hakuanzia Bandari, bali tangu alivyokuwa Wizara ya Ujenzi. Kwa wanaomfahamu huyu bwana, ni hatari kwani amejaa kiburi, dharau na hana chembe ya woga kufanya au kusema lolote na bado yupo kwenye Utumishi wa Umma!
 
Wale mawaziri wanaoitwa mizigo au wengine ambao kwa sehemu kubwa wapo wapo tu bila maono yoyote hawawezi kuchambuliwa na kutuhumiwa kwa ufisadi kama kina Mwakyembe ambao kwa watu wengi walionyesha walijua walichopaswa kufanya katika wizara hiyo ya uchukuzi. Hata kama Mwakyembe alikuwa fisadi kama inavyodaiwa hapa, Watanzania wengi watasema potelea mbali. Mambo mazuri aliyofanya katika wizara hiyo ni makubwa kuliko ufisadi aliofanya. Uzoefu unatuonyesha, watu wenye maneno mengi ya porojo ni wababaishaji ambao kazi yao kubwa ni madili tu. Na hawa wanakuwa wakali sana dili zao zinapodhibitiwa.
 
Pasco huna details zozote za ukweli kuhusu hili?
 
Last edited by a moderator:
Mleta uzi inawezekana akakosa presentation format au skills au vyote kwa pamoja lakini tunakosea na kukhukumu mtu through his weakness. Tuangalie facts na achievements za Mwakyembe katika sekta ya usafirishaji- ATC, Bandari na Reli. Has he really delivered to the expectations of the Wananchi? SCANDALS kama expenditure ya TZS 30 billion kugharimia matangazo ya mkutano wa wafanyakazi wa Bandari na mkutano wenyewe. Is it worthy it? is there value for money? Kulikuwa na umuhimu wa mkutano wa gharama kiasi hicho. What have we achieved. Kwa nchi inayoendelea tunahitaji barabara ambazo gharama ya kuzihudumia na zina short life span au Reli? Amefanya nini practically kuinua sketa ya reli? Amefanya nini kuinua ATC ijiendeshe? Je, anastahili kuangaliwa katika jicho lisilokuwa na mawaa?
Kufufua ATC na Reli kwa bajeti gani? Ndiyo maana alianza kwa kutimua majizi wa India (Rite) na mengine ya ndani ili kitambaa kitoshe angalau kushona bukta tu. Vichwa vya reli vimefufuka zama zake, bandari kulioza, ATC ya akina Basil Mramba na Omari Nundu ilikuwa hoi, hebu acheni utani wenu kuhusu Mwakyembe. Hii ni kawaida kwa mawaziri wachapaka kazi kushikwa mikono wanapogusa maslahi ya watu, c/o Dkt. Magufuli na malori yanayoharibu barabara zetu, kitu gani kilimtokea Magufuli? Kama Mwakyembe anajua kusoma alama za nyakati akihame CCM haraka kabla watanzania wengi hatujausahau bado mchango wake katika kuzuia usafirishaji dawa za kulevya airport, kufufua reli, kuzuia wizi bandari na ujenzi wa viwanja vya ndege. Asisubiri watanzania wasahau moto wake kama vile walivyousahau moto wa Lyatonga Mrema katika enzi zake.

Uzi huu umeandikwa sio kwa bahati mbaya bali umeandikwa na mtu kwa lengo maalumu, kwani waliouandika wanafahamu kuwa watanzania wengi wamefurahishwa na kazi ya Mwakyembe tangu enzi za kumtimua Lowassa kwenye uwaziri mkuu kwa Richmond hadi uwaziri wa uchukuzi, ndiyo maana hata sumu alipewa, tena kwa sasa hivi ndio awe makani zaidi hata kuliko wakati ule. Wako watu wanaodhani kuwa kama Mwakyembe atatangaza nia ya kugombea urais basi shughuli kwao itakuwa pevu kwa mgombea wao.
 
Mta chafua watu wee mpaka mtawamaliza kisha mtarudi mpaka kwa wazazi wenu maana wengine ndo mmeajiriwa kwa kazi hiyo kuunda unda leo huyu kesho yule,kila mtu hamkosi kumchafua #MNATAKA_WAZIRI_AWE_BABAYENU ?
 
Mwakyembe kaondolewa uchukuzi na wauza sembe FULL STOP!!
 
Umejua lini baada ya kuhamishwa wizara ama ? Kikwete kampenda kampeleka.mbele
 
sasa kama mmegundua ni mwizi ndo mmempeleka akaibe na afrika mashariki!!! Yaan post yako imejaa chuki na uzushi. Hebu nenda ukalijenge taifa acha utoto.
 
Sembe zinapita kama kawaida wapendwa hakuna jipya.

Huyu aliharibu juzi aliposema atadili na mabehewa mizigo ianze pelekwa mikoani na treni; alipoulizwa vipi malori akajibu utumbo tutakaa nayo tuwaambie treni tunafikisha mzigo hapa, kuanzia hapa muanze kubeba mizigoyenu weeewee.

Asilimia50 ya wakubwa wanaishi na malori ya mizigo rest sembe unahisi wangemuacha never,,, ila ni fundisho ukipewa uwaziri hata kama unafanya jambo jema kuwa msiri sio unaropoka kila sehemu.

Alikuwa na uwezo wa kufanya haya bila ya kujulisha umma alipojitangaza akatoa aina ya silaha kwa maadui wakamshugulikia na ak49

Pdidy Katika Ubora Wako..

Bravo Pdidy..
 
Watanzania tunampenda mwakyembe lakini kikwete kampenda zaidi..!
 
Hakuna aliye ccm mwenye akili timamu waache wafu wazikane
 
Nimepata shida sana kujiuliza bila majibu kwa nini Dr. H. Mwakyembe kaondolea wizara ya uchukuzi, baada ya utafiti niliofanya nimegundua sababu kubwa ni tatu:
1. Adhma yake ya kufufua reli ili kuachana usafirishaji wa mizigo mizito kwa malori inayopelekea baabara zetu kuharibika vibaya.
2. Kudhibiti ufisadi na wizi bandarini
3. Udhibiti dhidi ya usafirishaji wa madawa ya kulevya kwenye viwanja vyetu vya ndege.
Swali ni je yanafanyika yote haya kwa maslahi ya nani? JE TUTAFIKA KWA STAILI HII? NINI NAFASI YA MWANCHI WA KAWAIDA KTK MAMBO KAMA HAYA?
 
Mwakyembe anastahili haya yayompata ,alikomalia RICHMOND then akasurrender kihuni.. yeye na SITA!Kmbe walikwana ajenda yao ! Sasa amekkurukaufisadi aibu imempata! Katika hali ya kwaida kuwa top layer ndani yaCCM LAIMA UWE MCHUMIA TUMBO!
 
Back
Top Bottom