Ukistaajabu ya Escrow utaona ya Mwakyembe

Ukistaajabu ya Escrow utaona ya Mwakyembe

Nimepata shida sana kujiuliza bila majibu kwa nini Dr. H. Mwakyembe kaondolea wizara ya uchukuzi, baada ya utafiti niliofanya nimegundua sababu kubwa ni tatu:
1. Adhma yake ya kufufua reli ili kuachana usafirishaji wa mizigo mizito kwa malori inayopelekea baabara zetu kuharibika vibaya.
2. Kudhibiti ufisadi na wizi bandarini
3. Udhibiti dhidi ya usafirishaji wa madawa ya kulevya kwenye viwanja vyetu vya ndege.
Swali ni je yanafanyika yote haya kwa maslahi ya nani? JE TUTAFIKA KWA STAILI HII? NINI NAFASI YA MWANCHI WA KAWAIDA KTK MAMBO KAMA HAYA?

Alifanya nini katika hayo zaidi ya porojo na kutafuta attention kwenye vyombo vya habari.. Mzee wa kukurupuka mayowe mengi vitendo 0. Inauma saaana nchi kutokuwa na national carrier et ndege moja tena iko hoi bin taaaban??? Tuna viwanja vingap domestic? Je hilo sio soko tosha kuanzia na kisha kwenda kimataifa....
 
Alifanya nini katika hayo zaidi ya porojo na kutafuta attention kwenye vyombo vya habari.. Mzee wa kukurupuka mayowe mengi vitendo 0. Inauma saaana nchi kutokuwa na national carrier et ndege moja tena iko hoi bin taaaban??? Tuna viwanja vingap domestic? Je hilo sio soko tosha kuanzia na kisha kwenda kimataifa....


So waziri ndio akanunue ndege???!!!
Umeshasema National Carrier halafu unataka liwe katika level ya waziri mmoja!!!!


Nchi hii hatuwezi endelea mpaka watu mjue kuna mambo lazima yapate kick starting ya "nchi kama nchi" sio segments za muundo wa kiutawala!!!
 
Nimepata shida sana kujiuliza bila majibu kwa nini Dr. H. Mwakyembe kaondolea wizara ya uchukuzi, baada ya utafiti niliofanya nimegundua sababu kubwa ni tatu:
1. Adhma yake ya kufufua reli ili kuachana usafirishaji wa mizigo mizito kwa malori inayopelekea baabara zetu kuharibika vibaya.
2. Kudhibiti ufisadi na wizi bandarini
3. Udhibiti dhidi ya usafirishaji wa madawa ya kulevya kwenye viwanja vyetu vya ndege.
Swali ni je yanafanyika yote haya kwa maslahi ya nani? JE TUTAFIKA KWA STAILI HII? NINI NAFASI YA MWANCHI WA KAWAIDA KTK MAMBO KAMA HAYA?

una uhakika mkuu na hiki unachoandika hapa au ndo majungu ya sisi wabongo
 
Nimepata shida sana kujiuliza bila majibu kwa nini Dr. H. Mwakyembe kaondolea wizara ya uchukuzi, baada ya utafiti niliofanya nimegundua sababu kubwa ni tatu:
1. Adhma yake ya kufufua reli ili kuachana usafirishaji wa mizigo mizito kwa malori inayopelekea baabara zetu kuharibika vibaya.
2. Kudhibiti ufisadi na wizi bandarini
3. Udhibiti dhidi ya usafirishaji wa madawa ya kulevya kwenye viwanja vyetu vya ndege.
Swali ni je yanafanyika yote haya kwa maslahi ya nani? JE TUTAFIKA KWA STAILI HII? NINI NAFASI YA MWANCHI WA KAWAIDA KTK MAMBO KAMA HAYA?

Nakubaliana na wewe asilimia 100% Nadhani wahusika wamekuta stock inapungua wakati demand inaongezeka. Hivi mtoto wa mkuu wa kaya ameacha biashara ya "Sembe?"
 
So waziri ndio akanunue ndege???!!!
Umeshasema National Carrier halafu unataka liwe katika level ya waziri mmoja!!!!


Nchi hii hatuwezi endelea mpaka watu mjue kuna mambo lazima yapate kick starting ya "nchi kama nchi" sio segments za muundo wa kiutawala!!!

Mishahara ya wafanyakazi tazara, nayo inahitaji kick start?? What a looser
 
mwakyembe ni waziri wa magezetini na kwenye television.
 
Nakubaliana na wewe asilimia 100% Nadhani wahusika wamekuta stock inapungua wakati demand inaongezeka. Hivi mtoto wa mkuu wa kaya ameacha biashara ya "Sembe?"

0713 inakuwasha eeee...kaungane na Lema kwenye michezo yenu hiyo
 
Nimepata shida sana kujiuliza bila majibu kwa nini Dr. H. Mwakyembe kaondolea wizara ya uchukuzi, baada ya utafiti niliofanya nimegundua sababu kubwa ni tatu:
1. Adhma yake ya kufufua reli ili kuachana usafirishaji wa mizigo mizito kwa malori inayopelekea baabara zetu kuharibika vibaya.
2. Kudhibiti ufisadi na wizi bandarini
3. Udhibiti dhidi ya usafirishaji wa madawa ya kulevya kwenye viwanja vyetu vya ndege.
Swali ni je yanafanyika yote haya kwa maslahi ya nani? JE TUTAFIKA KWA STAILI HII? NINI NAFASI YA MWANCHI WA KAWAIDA KTK MAMBO KAMA HAYA?

Hayo uliyotaja ndiyo yanayomfanya akalisahau jimbo lake la Kyela alijiona yeye ni mbunge wa majimbo yote ya dar...sasa jimbo hilo linaondoka kwani hakuna alichofanya kwa wanakyela
 
Nimepata shida sana kujiuliza bila majibu kwa nini Dr. H. Mwakyembe kaondolea wizara ya uchukuzi, baada ya utafiti niliofanya nimegundua sababu kubwa ni tatu:
1. Adhma yake ya kufufua reli ili kuachana usafirishaji wa mizigo mizito kwa malori inayopelekea baabara zetu kuharibika vibaya.
2. Kudhibiti ufisadi na wizi bandarini
3. Udhibiti dhidi ya usafirishaji wa madawa ya kulevya kwenye viwanja vyetu vya ndege.
Swali ni je yanafanyika yote haya kwa maslahi ya nani? JE TUTAFIKA KWA STAILI HII? NINI NAFASI YA MWANCHI WA KAWAIDA KTK MAMBO KAMA HAYA?

[h=2]Mwakiembe ameondolewa Wizara ya Uchukuzi kulinda masilahi ya nini?[/h]
images
Reli/madawa
images

images
Bandari/ndege
images





  • Biashara ya madawa ya kulevya ilibaki hadithi sasa hivi itaanza kushamiri tena.
  • Masilahi ya wananchi nchi na wananchi yangetangulizwa Mwakiembe asingehamishwa wizara hiyo nyeti.


Dr Harizon Mwakiembe ni waziri nadra sana katika awamu hii kwa kujituma kiutendaji na kuondoa kero pamoja na kujitahidi kurudisha heshima ya wizara hiyo.

Biashara ya madawa ya kulevya
Amejitahidi kurejesha heshima iliyofutika tokana na uwanja wa ndege Dar kuwa hub ya kusafirishia madawa ya kulevya, kuondolewa kwake kunatia shaka huenda amekuwa zuio la matajiri na vigogo upitishwaji wa bidhaa za madawa ya kulevya.

Utendaji bandarini ulianza kuridhisha
Heshima ya bandari kuu Tanzania Dar es Salaam ilianza kurejea kwa utendaji na kushinikiza watendaji kufanya kazi 24 hr ili kuharakisha upakuaji na upakiaji wa mizigo hali iliyoleta matumaini kwa wateja wa badanari hiyo. Imekuwa na ushindani na bandari ya Mombasa. Kuhamishiwa wizara nyingine wakati alikuwa tegemeo kubwa
na mipango endelevu inaleta hisia na mashaka, hivyo nyuma ya pazia kumejivicha mizengwe mingi na pengine hali ikarudia kuwa mbaya kuliko awali.

Uanzishaji wa usafiri wa reli Dar
Ubunifu wake huo ulisaidia kuondoa kero kwa usafiri wa ndani ya jiji la Dar es salaam hasa tokana na msongamano, hivyo watumiaji wa reli wamekuwa wanawahi kazini mapema tofauti na wanaotumia usafiri wa barabara. Amekuwa na mipango ya kupanua usafiri huo maeneo mengine. Kinachoendelea na mabadiliko ya baraza la mawaziri kumwondoa huyu Mwakiembe bado haijaleta tija isipokuwa kulinda uovu uliozoeleka huko, labda masilahi ya wakubwa binafsi yametangulizwa kuliko hitaji la nchi na wananchi.

Kero za katiba ambazo Rais amepewa mamlaka makubwa mno ndio hizi maana kama pendekezo la rasimu ya katiba ya Warioba kabla ya kumtangaza waziri kunahitajika uthibitisho wa bunge, kwa sasa ni matakwa ya rais pekee iwe kwa manufaa ya nchi au la!
 
Hii ni ya wachache. Iko siku watapigwa chini wote wenye hila na hii nchi ya asali na maziwa.
 
Kama Mwakyembe hakufanya kazi , basi hakuna kipimo cha kazi kwa mawaziri. Ni kufanya safari , kusoma bajeti basi. Kwa mtaji kila mtu anaweza kuwa waziri.

Mwakyembe ameondolewa kwa vile anagusa maslahi na vilevile vita vya uraisi 2015. Tatizo ni serikali ya kishi...ji
 
Reli ingepunguza utitiri wa malori ya mizigo kwenda mikoani kama mbeya, mwanza hivyo kuathiri biashara ya usafirishaji mizigo ya familia ya rais inayomilikiwa na Ridhiwani. Pia ingepunguza soko la mafuta maana magari ya mizigo ambayo ndo consumers wa mafuta yangunguza safari hivyo kampun za uuzaji na usafirishaji mafuta za ridhiwani zingekufa.

Mwakyembe alikuwa ni kikwazo kikubwa kwa ridhiwani bandarini katika kupitisha mizigo bila ushuru. Hivyo basi mwakyembe katolewa bandarini ili ridhiwan apitishe mizigo kiurahisi kwa hizi siku chache alizobaki mheshimiwa rais kikwete

Madawa ya kulevya, hii biashara ya wakubwa akiwemo mtoto wa raIS miraji na ridhiwani, kwa hiyo wenye maslah makubwa ni wakubwa pia

Shirika la ndege la taifa Atcl chinyi ya mwakyembe lilikuwA linarudi na lingetishia uwepo wa mashirika mengine hususan precision air, hivyo ili kuendelea kulinda mashirika binafsi ya ndege kama alivyofanya basil mramba kuiuA atcl basi wamemuondoa mwakyembe wizarani na kumweka Chura mnajisi wa zoezi la upatikanaji wa katiba mpya
 
Mwakyembe anastahili haya yayompata ,alikomalia RICHMOND then akasurrender kihuni.. yeye na SITA!Kmbe walikwana ajenda yao ! Sasa amekkurukaufisadi aibu imempata! Katika hali ya kwaida kuwa top layer ndani yaCCM LAIMA UWE MCHUMIA TUMBO!
uctumie makalio kuandika utumbo wako huu.. ona unavochapia.. ni sheeedda kuwa na miburula kama wewe
 
Hayo uliyotaja ndiyo yanayomfanya akalisahau jimbo lake la Kyela alijiona yeye ni mbunge wa majimbo yote ya dar...sasa jimbo hilo linaondoka kwani hakuna alichofanya kwa wanakyela

kwenye ubunge huko hayuko tena sasa hivi huyu ni wa kuongoza nchi hii ili aiokoe tanganyika yetu
 
Tina alifanywa kinyume na mategemeo yake na mwakyembe hvyo atamchukia miaka yote. Aliathirika sana na zile harakati za Dr Mwakyembe kuifagia bandari iliyokuwa imejaa rushwa na ufisadi mkubwa sana. alikuwa anafaidika sana na rushwa za bandari ,pesa nje nje na wizi usio kifani. toka mwakyembe amefanya mabadiliko na kupunguza mianya hiyo wapizani wengi sana walibuka kupngana naye na hapo watu kama akina tina wakapewa kazi ya kuhakikisha wao wanamwamgia mwakyembe vumbi kila atakapoonekana amevaa nguo safi. na ikiwezekana hata akivaa safi wasme hata rangi zile ni uchafu wa madoa sugu. kazi hii amefanya mua mrefu.tina humu ndani hana mchango mwingne wowote isipokuw kumshambulia mwakyembe. ukiona tu posted by tina basi ujue anakuja kumshambulia mwakyembe. hasa akiwa kwenye siku zake flan huwa anakuwa na hasira sana. nmechunguza post zake na tarehe zake kwa mwezi nmeona hilo. hana hoja ana malalamiko na manung'uniko yasoisha. sijui mwakyembe alimkosea tina kiasi gan. ila nadhan sasa atapata ahueni kidogo maana mwakyembe hayupo. dad mpaka ulianza kuzeeka kwa kumwazia mwakyembe. wewe hata ukiwa wapi unamwaza mwakyembe tu. pumzika sasa. tumeamua kukuelewa.
 
Back
Top Bottom