Ukistaajabu ya Dr. Slaa utayaona ya Dr. Shika

Ukistaajabu ya Dr. Slaa utayaona ya Dr. Shika

Mbwa dume

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
6,289
Reaction score
10,993
Poleni na kazi wajameni,

Leo hii nimekaa na vijana wangu kwenye banda letu tunapouziaga majeneza niko na kasimu kangu ka tecno M3 kale kakizamani (vile vya promosheni ya wale jamaa) sasa niko katika kuperuzi mitandaoni nakutana na haka kajamaa "Dr Shikamoo" eti kila siku kanaibuka na ishu mpya halafu naona kama kuna watu wanakatumia kufanikisha mambo yao maana wanajua kamepata umaarufu wa ghafla na kuwafunika kina Homo Rapa na Ebitoke.

Sasa juzi nilisoma habari sehemu eti Dr shika yuko Kahama ameahidi msaada wa bilioni 2 nikashangaa leo tena nakutana na habari moja eti Dr shika yuko kwenye kampeni za kumnadi mgombea wa ccm yaani nimejikuta nacheka sana mpaka watu wanashangaa!

Nilichogundua haka kajamaa kakitumia vizuri huu umaarufu wake katika kipindi hiki kigumu katapiga hela ya kueleweka na mwisho kanaweza hata kununua mjengo na usafiri aisee!

Hii inaonyesha jinsi gani kuna wabongo wanajua kutumia fursa! Mzee huyu amenifanya nimkumbuke babu wa Loliondo alivyotumia fursa na akapiga hela na wajanja pia walitumia fursa hiyo kupiga hela kupitia biashara mbalimbali ikiwemo usafirishaji.

Hapa nawaza kumfuata babu yangu kijijini maana tangu astaafu jeshi mwaka 1985 mpaka leo yupo tu analinda shule ya kijiji bure nimlete mjini tukae chini nasi tutafute kiki pengine mzee wangu naye akawa maarufu kama Dr. Shika.
 
Tanzania unaweza lala maskini ukaamuka mashuhuri ukapiga ela.
Siyo kwa Tanzania tu hata mbele, kuna mdada flani Justin Bieber alipost poem zake instagram, hicho kitendo kimebadili maisha ya huyo mdada sasa hivi ni famous anapata interviews analipwa na majarida kutumia poem zake ana ma endorsement lakin kabla ya hapo hakuna aliyeona kama poem zake zina maana
 
Vijana wapo migodini au mashambani "wakimenyeka kwerikweri"lakini Dk.Shika uzeeni kabisa anakamatia fursa. Kulimia meno oyeee!!!
 
huenda pesa anayo tayari, sasa anaitakatisha
Nilichogundua haka kajamaa kakitumia vizuri huu umaarufu wake katika kipindi hiki kigumu katapiga hela ya kueleweka na mwisho kanaweza hata kununua mjengo na usafiri aisee!
 
Poleni na kazi wajameni,

Leo hii nimekaa na vijana wangu kwenye banda letu tunapouziaga majeneza niko na kasimu kangu ka tecno M3 kale kakizamani (vile vya promosheni ya wale jamaa) sasa niko katika kuperuzi mitandaoni nakutana na haka kajamaa "Dr Shikamoo" eti kila siku kanaibuka na ishu mpya halafu naona kama kuna watu wanakatumia kufanikisha mambo yao maana wanajua kamepata umaarufu wa ghafla na kuwafunika kina Homo Rapa na Ebitoke.

Sasa juzi nilisoma habari sehemu eti Dr shika yuko Kahama ameahidi msaada wa bilioni 2 nikashangaa leo tena nakutana na habari moja eti Dr shika yuko kwenye kampeni za kumnadi mgombea wa ccm yaani nimejikuta nacheka sana mpaka watu wanashangaa!

Nilichogundua haka kajamaa kakitumia vizuri huu umaarufu wake katika kipindi hiki kigumu katapiga hela ya kueleweka na mwisho kanaweza hata kununua mjengo na usafiri aisee!

Hii inaonyesha jinsi gani kuna wabongo wanajua kutumia fursa! Mzee huyu amenifanya nimkumbuke babu wa Loliondo alivyotumia fursa na akapiga hela na wajanja pia walitumia fursa hiyo kupiga hela kupitia biashara mbalimbali ikiwemo usafirishaji.

Hapa nawaza kumfuata babu yangu kijijini maana tangu astaafu jeshi mwaka 1985 mpaka leo yupo tu analinda shule ya kijiji bure nimlete mjini tukae chini nasi tutafute kiki pengine mzee wangu naye akawa maarufu kama Dr. Shika.
CCM wakishakutumia wanakutupa vibaya sana , msubiri huo uchaguzi uishe muone .

Machinga wa Mwanza ni mashahidi .
 
Poleni na kazi wajameni,

Leo hii nimekaa na vijana wangu kwenye banda letu tunapouziaga majeneza niko na kasimu kangu ka tecno M3 kale kakizamani (vile vya promosheni ya wale jamaa) sasa niko katika kuperuzi mitandaoni nakutana na haka kajamaa "Dr Shikamoo" eti kila siku kanaibuka na ishu mpya halafu naona kama kuna watu wanakatumia kufanikisha mambo yao maana wanajua kamepata umaarufu wa ghafla na kuwafunika kina Homo Rapa na Ebitoke.

Sasa juzi nilisoma habari sehemu eti Dr shika yuko Kahama ameahidi msaada wa bilioni 2 nikashangaa leo tena nakutana na habari moja eti Dr shika yuko kwenye kampeni za kumnadi mgombea wa ccm yaani nimejikuta nacheka sana mpaka watu wanashangaa!

Nilichogundua haka kajamaa kakitumia vizuri huu umaarufu wake katika kipindi hiki kigumu katapiga hela ya kueleweka na mwisho kanaweza hata kununua mjengo na usafiri aisee!

Hii inaonyesha jinsi gani kuna wabongo wanajua kutumia fursa! Mzee huyu amenifanya nimkumbuke babu wa Loliondo alivyotumia fursa na akapiga hela na wajanja pia walitumia fursa hiyo kupiga hela kupitia biashara mbalimbali ikiwemo usafirishaji.

Hapa nawaza kumfuata babu yangu kijijini maana tangu astaafu jeshi mwaka 1985 mpaka leo yupo tu analinda shule ya kijiji bure nimlete mjini tukae chini nasi tutafute kiki pengine mzee wangu naye akawa maarufu kama Dr. Shika.
Sawa Jaribu labda utafanikiwa, lakini kumbuka Wahenga wanasema, bahati ya mwenzio usilale nyumba wazi.
 
Back
Top Bottom