Ukisoma thread za JF hauna tofauti na mtu aliyesoma vitabu vingi kwa Mwaka

Kwahiyo kaka hadi ule Uzi wa riki boy kula tunda kimasihara ni kitabu eeh


Remember you"re choose to be here
 
Wazee Sina mengi, Ila nimejifunza mengi jamii forum, nilichogundua UKISOMA Topic nyingi unakuwa huna tofauti na Zitto kabwe anayesoma VITABU 100 kwa mwaka.

Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
Kujua mambo mengi kunaweza pia kukakuhatarishia afya yako...huwa nawaza wale jamaa waliofeli darasa la saba miaka yetu huenda wakawa wanaishi kwa furaha sana sababu hawajui mambo mengi yanayowazunguka hivyo hawaumii kila kitu wanaona sawa tu.

Kuerevuka peke yako kwenye jamii ya wajinga wengi ni hasara kubwa!!

Kwa mfano kuna uwezekano 60% ya watanzania hawajui mchango anayofanya Zitto ama Lissu!! vile vile hawajui umuhimu wa vyama vya upinzani nchini.

wanaishi kwa raha sababu hawafikirii ada, kodi, matibabu no

Wao wanachojali ni ugali na pombe za kienyeji basi....siku ishakwisha hiyo.
 
Kujua mambo mengi kunaweza pia kukakuhatarishia afya yako...huwa nawaza wale jamaa waliofeli darasa la saba miaka yetu huenda wakawa wanaishi kwa furaha sana sababu hawajui mambo mengi yanayowazunguka hivyo hawaumii kila kitu wanaona sawa tu.

Kuerevuka peke yako kwenye jamii ya wajinga wengi ni hasara kubwa!!

Kwa mfano kuna uwezekano 60% ya watanzania hawajui mchango anayofanya Zitto ama Lissu!! vile vile hawajui umuhimu wa vyama vya upinzani nchini.

wanaishi kwa raha sababu hawafikirii ada, kodi, matibabu no

Wao wanachojali ni ugali na pombe za kienyeji basi....siku ishakwisha hiyo.
kwahyo mkuu bora tubaki tu tusijue tusije umia au:cool:.
 
Back
Top Bottom