johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,966
- 141,975
Hapa naongea kiimani zaidi na siyo kichama.
Sifa kuu ya mtu atamaniye kuwa askofu ni lazima awe na KIASI.
Kadhalika anapaswa kuwa ni mtu mpole, muafilifu, mwenye upendo, mwenye nidhamu, mume wa mke mmoja na asiyekuwa wa kulaumiwa.
Haya yote yameelexwa katika kitabu cha Timotheo wa kwanza, sura ya 3 mstari wa 1 hadi 10.
Kwa mtazamo wangu ni vema sasa Dr Gwajima akajulikana tu kama mchungaji Gwajima akiungana na mchungaji Msigwa kule bungeni.
Nawatakia Dominica yenye baraka hapo kesho.
Maendeleo hayana vyama!
Sifa kuu ya mtu atamaniye kuwa askofu ni lazima awe na KIASI.
Kadhalika anapaswa kuwa ni mtu mpole, muafilifu, mwenye upendo, mwenye nidhamu, mume wa mke mmoja na asiyekuwa wa kulaumiwa.
Haya yote yameelexwa katika kitabu cha Timotheo wa kwanza, sura ya 3 mstari wa 1 hadi 10.
Kwa mtazamo wangu ni vema sasa Dr Gwajima akajulikana tu kama mchungaji Gwajima akiungana na mchungaji Msigwa kule bungeni.
Nawatakia Dominica yenye baraka hapo kesho.
Maendeleo hayana vyama!