Ukisikia' Nitakuoa kumbe anakwepa matumizi

Ukisikia' Nitakuoa kumbe anakwepa matumizi

nishamuona mmoja ananyemelea kwa mtindo uo......alaf anaongezea napambana kumalizia kujenga mambo magumu lakini yatakaa sawa
 
Ina maana kama mtu asiyekwambia kuwa atakuoa ndo utazidi kumuomba pesa sasa tofauti yako na malaya iko wapi?
Navojua mwanamke anayejitambua huingia kwenye mahusiano ya malengo ya kuoana unless isitokee, kutumia mwili wako kama kitega uchumi ndo kauli ya wadada wasiopenda kutamkiwa ndoa.
 
Wanaume wa siku hizi wamekuja na mbinu mpya ili aendelee kula mzigo kiulaini bila stress za hela

Wakishakutongoza,anaingiza ishu ya kukuoa,ili usiwe unamuomba hela mara kwa mara ,au ukimuomba akikwambia hana inakuwa ngumu kumuacha mwanaume kwa kutegemea mbeleni kuna ndoa kumbe siyo plan yao,utasubiri sana

Mwingine ukishatembea naye anaingjza swaga za kukuoa ili ajihakikishie umiliki na pia upunguze kiherere cha kuomba hela

Kumbe lengo akwepe matumizi sio kuoa

Wanawake shtukeni
Kwani nyie mnvyoingia kwenye mahusiano lengo lenu Ni kuomba hela?
Ha ha ha
Kweli wote mnajiuza, utofauti Ni mazingira tu.
 
Wanaume wa siku hizi wamekuja na mbinu mpya ili aendelee kula mzigo kiulaini bila stress za hela

Wakishakutongoza,anaingiza ishu ya kukuoa,ili usiwe unamuomba hela mara kwa mara ,au ukimuomba akikwambia hana inakuwa ngumu kumuacha mwanaume kwa kutegemea mbeleni kuna ndoa kumbe siyo plan yao,utasubiri sana

Mwingine ukishatembea naye anaingjza swaga za kukuoa ili ajihakikishie umiliki na pia upunguze kiherere cha kuomba hela

Kumbe lengo akwepe matumizi sio kuoa

Wanawake shtukeni
Na nyie tafutenui hela sio mgeuze nyeti zenu kitega uchumi pumbavu zenu wote mnaoomba omba pesa kila muda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom