Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,194
- 27,097
You can say it againWanaume tutoeni hela hivi viumbe vifrahie maisha
You can say it againWanaume tutoeni hela hivi viumbe vifrahie maisha
umeshatoka dar ?Wanaume wa siku hizi wamekuja na mbinu mpya ili aendelee kula mzigo kiulaini bila stress za hela
Wakishakutongoza,anaingiza ishu ya kukuoa,ili usiwe unamuomba hela mara kwa mara ,au ukimuomba akikwambia hana inakuwa ngumu kumuacha mwanaume kwa kutegemea mbeleni kuna ndoa kumbe siyo plan yao,utasubiri sana
Mwingine ukishatembea naye anaingjza swaga za kukuoa ili ajihakikishie umiliki na pia upunguze kiherere cha kuomba hela
Kumbe lengo akwepe matumizi sio kuoa
Wanawake shtukeni
umejuaje mkuu?Wewe sio mwanamke bali nimwanaume nikwanini unawapa hii CODE?
Tushashituka muda[emoji51]Wanaume wa siku hizi wamekuja na mbinu mpya ili aendelee kula mzigo kiulaini bila stress za hela
Wakishakutongoza,anaingiza ishu ya kukuoa,ili usiwe unamuomba hela mara kwa mara ,au ukimuomba akikwambia hana inakuwa ngumu kumuacha mwanaume kwa kutegemea mbeleni kuna ndoa kumbe siyo plan yao,utasubiri sana
Mwingine ukishatembea naye anaingjza swaga za kukuoa ili ajihakikishie umiliki na pia upunguze kiherere cha kuomba hela
Kumbe lengo akwepe matumizi sio kuoa
Wanawake shtukeni
Akipenda atahudumiaKwa nini uingize swala la kupiga mizinga kama unataka kuolewa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa nini uingize suala la kuoa na sio target yako
Ulimpa sh ngapi Mkuu!Leo nimejifunza kitu
Wanawake hua wanaingia kwenye mahusiano ili wapate pesa
2 ili ulale nae basi Lazima umpe pesa..... Kama wakwangu nilikua Nampa ila still hakutulia yanini papala
#kidumu chama cha mabachelAa
Baada ya kuoa angalia sarakasi zao! Utasaga meno. Ogopa sana wale vimbelembele. Wanageula na kuwa wakaidi sana..Kumbe kuolewa ni dili sana kiasi hichi!!!!!
Kwanini inatafsiriwa kuwa mwanaume anamla mwanamke wakati papa ndio huwa inaimeza fimbo?????Riziki ya kuolewa kama njia ya kuendelea kumla kiulaini
Unafaham wanawake ndiyo wanaongoza kwa udanganyifu katika uchumba?Wanaume wa siku hizi wamekuja na mbinu mpya ili aendelee kula mzigo kiulaini bila stress za hela
Wakishakutongoza,anaingiza ishu ya kukuoa,ili usiwe unamuomba hela mara kwa mara ,au ukimuomba akikwambia hana inakuwa ngumu kumuacha mwanaume kwa kutegemea mbeleni kuna ndoa kumbe siyo plan yao,utasubiri sana
Mwingine ukishatembea naye anaingjza swaga za kukuoa ili ajihakikishie umiliki na pia upunguze kiherere cha kuomba hela
Kumbe lengo akwepe matumizi sio kuoa
Wanawake shtukeni
This used to be an old school move, yet still effectiveWanaume wa siku hizi wamekuja na mbinu mpya ili aendelee kula mzigo kiulaini bila stress za hela
Wakishakutongoza,anaingiza ishu ya kukuoa,ili usiwe unamuomba hela mara kwa mara ,au ukimuomba akikwambia hana inakuwa ngumu kumuacha mwanaume kwa kutegemea mbeleni kuna ndoa kumbe siyo plan yao,utasubiri sana
Mwingine ukishatembea naye anaingjza swaga za kukuoa ili ajihakikishie umiliki na pia upunguze kiherere cha kuomba hela
Kumbe lengo akwepe matumizi sio kuoa
Wanawake shtukeni
Hilo ni pigo la kujirinda na VizingaKwa nini uingize suala la kuoa na sio target yako