dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,809
- 61,674
ayaaa unatoa siri za kambi sasa
Sana sana. na ndiyo anguko lao...Wanawake mnaweka sana pesa mbele kama tai! Na ndio maana mnaishia kumegwa na kuachwa!
Hatukatai moja kwa moja kuombwa pesa maana ni jukumu letu kuwasaidia hata kama mnaishi nyumbani kwenu lazima mchango wangu kwako uonekane.Wanaume wa siku hizi wamekuja na mbinu mpya ili aendelee kula mzigo kiulaini bila stress za hela
Wakishakutongoza,anaingiza ishu ya kukuoa,ili usiwe unamuomba hela mara kwa mara ,au ukimuomba akikwambia hana inakuwa ngumu kumuacha mwanaume kwa kutegemea mbeleni kuna ndoa kumbe siyo plan yao,utasubiri sana
Mwingine ukishatembea naye anaingjza swaga za kukuoa ili ajihakikishie umiliki na pia upunguze kiherere cha kuomba hela
Kumbe lengo akwepe matumizi sio kuoa
Wanawake shtukeni
Wanaume wa siku hizi wamekuja na mbinu mpya ili aendelee kula mzigo kiulaini bila stress za hela
Wakishakutongoza,anaingiza ishu ya kukuoa,ili usiwe unamuomba hela mara kwa mara ,au ukimuomba akikwambia hana inakuwa ngumu kumuacha mwanaume kwa kutegemea mbeleni kuna ndoa kumbe siyo plan yao,utasubiri sana
Mwingine ukishatembea naye anaingjza swaga za kukuoa ili ajihakikishie umiliki na pia upunguze kiherere cha kuomba hela
Kumbe lengo akwepe matumizi sio kuoa
Wanawake shtukeni
Anakupa hela penzi likiwa ndo linaanza,likishakolea mambo mengiHatukatai moja kwa moja kuombwa pesa maana ni jukumu letu kuwasaidia hata kama mnaishi nyumbani kwenu lazima mchango wangu kwako uonekane.
Ila nakuhakikishia; moja kati ya vitu wanawake wengi hawajui ni jinsi /namna /utaalamu wa kuomba pesa kutoka kwa mwanaume.
Naamini hakuna mwanaume mgumu kutoa pesa kwa mwanamke. Labda kama hujampa mdenge, anaweza shtuka ila kama mmeshakunjana! Lazima zitoke tu.
Kwa nini uingize swala la kupiga mizinga kama unataka kuolewa?Kwa nini uingize suala la kuoa na sio target yako
weekend hii, hebu njoo huku babeDuuuu 😀 😀 😀
Ndio mpango mzima baby ujue nini Kuna kiwanja nimenunua nianze kujenga ili hata nikikuoa tusiishi nyumba zakupanga. Alafu baby ujue namambo mengi sana kwahiyo wala usijali wewe nimke wangu mwishoni mwamwaka huu itabidi nilete barua kwenu maana kuishi single nimechoka.Hahahahah,kumbe ni kweli
Kumbe kuolewa ni dili sana kiasi hichi!!!!!Riziki ya kuolewa kama njia ya kuendelea kumla kiulaini