charger
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 2,320
- 1,373
Hao madume tunacheza nao Circus !! yaani hata kwenye gari unampakia!!
na kumpanda ka farasi !! Ona hiyo![]()
Hizo korodani unaziweka rehani mkuu,simba wanapenda nyama laini.
Hao madume tunacheza nao Circus !! yaani hata kwenye gari unampakia!!
na kumpanda ka farasi !! Ona hiyo![]()
hao ni kawaida tu !!! dawa yao ni kumbadilishia chakula.....Hizo korodani unaziweka rehani mkuu,simba wanapenda nyama laini.
Unaanza kupiga makofi na kuimba pambio.....anameremeee...anameremetaa ..simbaaaaa anamerremetaaa anameremetaaaaaaaaaaa!! Ataondoka akiona unamsifia!!... .ukitoka hapo nduki bafuni kujisafisha!!!!
I see! Nilivyosikia fumanizi nikadhani nonino. Lakini hili ni zaidi ya fumanizi!