Ukisikia fumanizi basi ndo hili...

Ukisikia fumanizi basi ndo hili...

Wataaalamu wa porini wanasema simba dume hana tabu sana kama wa kike, huyo kuna maneno ukimwambia anakuachia. Ubaya wake utauona kama umetoka kula Mbunye akihisi harufu hudhani umetoka kula mbunye ya Simba jike wake....Utambeba

mkuu unamaanisha harufu ya hii kitu ni zafanana au ?
 
Hahahahahahah....Yani hapo utafikiri jamaa anasema Shkamoo Kaka Simba, nikusaidie maji ya kunywa, Juice au madhiwa?
 
Unaanza kupiga makofi na kuimba pambio.....anameremeee...anameremetaa ..simbaaaaa anamerremetaaa anameremetaaaaaaaaaaa!! Ataondoka akiona unamsifia!!... .ukitoka hapo nduki bafuni kujisafisha!!!!

Hahahahaaaaaaaa!... I see, hizi comments zenu nimejikuta nacheka hadi watu wananishangaa...
 
SIMBA:Tufahamiane bwana.Minaitwa simba

MZUNGU: Shikamoo braza mimi ni mfanyabiashara wa ma wigi kama hilo lako.

SIMBA : Mwongo wewe, inaonekana we ni kinara wa kuuza viungo vya rafiki zangu:

MZUNGU: Sasa sikia kaka,nisaidie hiyo fimbo ya chuma nikuoneshe kitu.

SIMBA: Mara ya mwisho kumla mzungu ilikua mwaka 79, sasa leo umejileta mwenyewe,nikatie mkono kwanza mwenyewe nionje.

MZUNGU kaazimia simba alivonausongo anaanza kula tent kwanza,kisha simu na viatu kama starter......
 
simba:tufahamiane bwana.minaitwa simba

mzungu: Shikamoo braza mimi ni mfanyabiashara wa ma wigi kama hilo lako.

Simba : Mwongo wewe, inaonekana we ni kinara wa kuuza viungo vya rafiki zangu:

Mzungu: Sasa sikia kaka,nisaidie hiyo fimbo ya chuma nikuoneshe kitu.

Simba: Mara ya mwisho kumla mzungu ilikua mwaka 79, sasa leo umejileta mwenyewe,nikatie mkono kwanza mwenyewe nionje.

Mzungu kaazimia simba alivonausongo anaanza kula tent kwanza,kisha simu na viatu kama starter......

Kama ni movie za Kibongo, maandishi ya Watch Out Part Two yanafuata...
 
shikamooo kaka simba, alafu unaendelea kusoma kitabu chako kimya kimya, simba atakuona fyatu kisha atasepa zake
 
SHIEKA, nah buddy. No use posting when the mind is blank. Will tag ya' when I do. stay safe.
 
Last edited by a moderator:
[/COLOR][/U]
mkuu unamaanisha harufu ya hii kitu ni zafanana au ?
Wataalamu wa mambo ya uwindaji wanadai harufu yake haitofautiani sana, si unaona hata kinyesi cha binadamu na mnyama hakitofautiani sana harufu....
 
SIMBA:Tufahamiane bwana.Minaitwa simba

MZUNGU: Shikamoo braza mimi ni mfanyabiashara wa ma wigi kama hilo lako.

SIMBA : Mwongo wewe, inaonekana we ni kinara wa kuuza viungo vya rafiki zangu:

MZUNGU: Sasa sikia kaka,nisaidie hiyo fimbo ya chuma nikuoneshe kitu.

SIMBA: Mara ya mwisho kumla mzungu ilikua mwaka 79, sasa leo umejileta mwenyewe,nikatie mkono kwanza mwenyewe nionje.

MZUNGU kaazimia simba alivonausongo anaanza kula tent kwanza,kisha simu na viatu kama starter......
Hahahahaaaaaaaa...
 
Namrushia tent ghafla!!... nikisogelea upande wa riffle then simba akiwa bado anairarua tent najizolea riffle nampiga risasi mara moja.
 
OK! Ndo maana anamshangaa kiaina huku akifuatilia nyendo zake.
Lakini hiyo ni kwa nyinyi wajuzi, sisi wengine hapo tungekuwatuna
ongea hadithi nyingine. Hahahahahahaaaaa...
Hao madume tunacheza nao Circus !! yaani hata kwenye gari unampakia!!

enhanced-buzz-7987-1401168739-9.jpg
na kumpanda ka farasi !! Ona hiyo
 
Back
Top Bottom