Ukisikia fumanizi basi ndo hili...

Ukisikia fumanizi basi ndo hili...

Mbona simba mwenyewe yupo kama shoga. Hana tofauti na nyoka wa kisimani au nyuki wa mashineni au nyoka wa kibisa.
 
Ndio maana nilivyokwenda Serengeti nilikataa katakata kulala kwenye Tent nkalala day 1 jikoni day 2 kwenye gari.
 
Wewe mtu anayetembeza vinywaji kwenye camp na gari anakuja anawambia nimekutana na sharubu kama 8 hapo kwenye camp kama km 2 kutoka mlipo alafu nilale kwenye Tent imposible.
 
Ha ha ha haaah,,,,,,,,huyo simba mzee hamfanyi chochote. zaidi atalala hapo jirani wapige stori.
 
Ndio maana nilivyokwenda Serengeti nilikataa katakata kulala kwenye Tent nkalala day 1 jikoni day 2 kwenye gari.
Ha ha ha haaah,,,,,,,,huko mbugani ndugu yangu kunatisha, wengine hata ujasiri wa kulala katika nyumba iliyo huko nisingekuwa nao.
 
Wataaalamu wa porini wanasema simba dume hana tabu sana kama wa kike, huyo kuna maneno ukimwambia anakuachia. Ubaya wake utauona kama umetoka kula Mbunye akihisi harufu hudhani umetoka kula mbunye ya Simba jike wake....Utambeba
 
Unaanza kupiga makofi na kuimba pambio.....anameremeee...anameremetaa ..simbaaaaa anamerremetaaa anameremetaaaaaaaaaaa!! Ataondoka akiona unamsifia!!... .ukitoka hapo nduki bafuni kujisafisha!!!!
 
Unaanza kupiga makofi na kuimba pambio.....anameremeee...anameremetaa ..simbaaaaa anamerremetaaa anameremetaaaaaaaaaaa!! Ataondoka akiona unamsifia!!... .ukitoka hapo nduki bafuni kujisafisha!!!!

ahahahhaahaha my ribs lol :becky:
 
MMmmmmmm,aisee unaweza ukajkuta unasalmia,shkamoo ehee eheee
 
Wataaalamu wa porini wanasema simba dume hana tabu sana kama wa kike, huyo kuna maneno ukimwambia anakuachia. Ubaya wake utauona kama umetoka kula Mbunye akihisi harufu hudhani umetoka kula mbunye ya Simba jike wake....Utambeba

Kumbe hadi mfalme ana wivu ati
 
Back
Top Bottom