Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Wakuu ninavyosikia kama ukishirikishwa kwenye single moja ya bongoflavor ni kama laki 2 za kitanzania, je kama mwanamuziki wakutoka Marekani mfano SnoopDog akishirikishwa na kama Dr. Dre analipwa kiasi gani? lengo langu kujua ni kwanini wasanii wa bongo mbona wanazidi kua masikini tu. Naomba kuwasilsha.