majorbuyoya
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,828
- 564
.........mmmh! hapa mkuu ungekuwa wazi kidogo unamzungumzia muumba yupi? maana kuna muumba yule aliyemuumba kwanza Adamu na Hawa halafu kuna yule muumba mwingine aliyeumba kalamu. Sijui unamzungumzia yupi?. Na hawa waumbaji wawili wapo tofauti kutokana na mafundisho yao kwani mmoja anahimiza amani, upendo na mshikamano wakati mwingine anahimiza mauaji, chuki, kujilipua, uzinzi n.kHoja mfu ni ipi? wewe hujisalimishi kwa muumba wako?