Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Wadau,wakati watoto kibao wa maskin wakiwa wamekosa mkopo mwaka huu,kuna rafiki yangu ambae ni mtoto wa kiöngozi mkubwa tu ktk serikali ya jk ambae alidisco chuo flan mwaka jana,lakin cha kushangaza kama co kuckitisha,huyu ndugu kaaply chuo upya na kapata mkopo.hili suala limekaaje wadau,ni kwamba heslb hawana taarifa za watu zinaowakopesha au ndo style ya kujuana?