Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,077
Amini unavyotaka kuamini lakini UKWELI nimeshakuambia. Narudia tena kuandika; hakuna tofauti kati ya Majini na Malaika Waasi, jini ni shetani na shetani ndiyo huyo huyo jini, hakuna tofauti yoyote ile.Mkuu kila mtu ana alipotoa maelezo yake kuhusu hao viumbe,sasa wewe unadhani maelezo ya kwamba majini kuwa ni malaika yanaendana na uhalisia?
Uamuzi ni wako mwenyewe, kuichagua KWELI au kuchagua uongo.