Ukipigiwa simu na TaESA kwa bahati mbaya simu haikuwa karibu unapaswa kufanya nini?

Ms koku

Member
Feb 11, 2023
9
10
Habari za asubuhi, nilipigiwa simu na TaESA kuitwa kwenye training tangu tarehe 7/3 mwaka huu kwa bahati mbaya simu sikuisikia na sikufatilia kuangalia upande wa missed call, jana ndio nikaona iyo missed call yao, na niliiona saa moja usiku maana no zao nilizisave.

Naombeni ushauri wenu nini naweza kufanya.
 
Yaani siku 18 zimepita dah!

Umefanya uzembe wa hali ya juu...

Labda haikuwa ridhiki yako...

Safari nyingine kuwa makini hasa unapokuwa umeomba kazi au una mchongo unausikilizia maana kuna michongo mingine huwa haiji mara mbili.

Hebu wapigie uone watasemaje japo nadhani wenzio watakuwa tayari kwenye mafunzo na si ajabu nafasi yako keshapewa mtu mwingine.

Pole ila Mungu Atafungua milango mingine
 
Habari za asubuhi, nilipigiwa simu na TaESA kuitwa kwenye training tangu tarehe 7/3 mwaka huu kwa bahati mbaya simu sikuisikia na sikufatilia kuangalia upande wa missed call, jana ndio nikaona iyo missed call yao, na niliiona saa moja usiku maana no zao nilizisave


Naombeni ushauri wenu nini naweza kufanya
Hata hivyo hatuwezi kukuchukua, ikiwa hata kupokea/kuiona missed call kwa wakati huwezi utaweza kweli kufanya kazi? utatusumbua kwenye kazi.
 
Yaani siku 18 zimepita dah!

Umefanya uzembe wa hali ya juu...

Labda haikuwa ridhiki yako...

Safari nyingine kuwa makini hasa unapokuwa umeomba kazi au una mchongo unausikilizia maana kuna michongo mingine huwa haiji mara mbili.

Hebu wapigie uone watasemaje japo nadhani wenzio watakuwa tayari kwenye mafunzo na si ajabu nafasi yako keshapewa mtu mwingine.

Pole ila Mungu Atafungua milango mingine
Ahsante kwa ushauri
 
Habari za asubuhi, nilipigiwa simu na TaESA kuitwa kwenye training tangu tarehe 7/3 mwaka huu kwa bahati mbaya simu sikuisikia na sikufatilia kuangalia upande wa missed call, jana ndio nikaona iyo missed call yao, na niliiona saa moja usiku maana no zao nilizisave.

Naombeni ushauri wenu nini naweza kufanya.
kama upo dar nenda ofisini watakupa karatasi uandike namba watakupangia siku nyingine,
wakikuuliza waambie hukuwepo
 
Huu upumbavu inabidi makampuni yanayokuwa yanafanya usahili yaache mara moja.

Utaratibu mzuri ni mpigie mtu simu kumualika kwenye usahili asipopokea mpigie kama mara mbili then asipopokea mtumie Sms ya kumjulisha wewe ni nani na ulimtafuta kwa madhumuni gani.

Muda mwingine mtu anaweza kuwa alikuwa mbali na simu au sipo ipo chaji kwa jirani so akikosa hiyo call anakuwa hajatendewa haki.
 
Habari za asubuhi, nilipigiwa simu na TaESA kuitwa kwenye training tangu tarehe 7/3 mwaka huu kwa bahati mbaya simu sikuisikia na sikufatilia kuangalia upande wa missed call, jana ndio nikaona iyo missed call yao, na niliiona saa moja usiku maana no zao nilizisave.

Naombeni ushauri wenu nini naweza kufanya.
Kwamba huwa hukagui cm yako siku 18? Isee kwani Simu zenu ni calculator?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nilishawahi kupigiwa Simi na hawa jamaa TAESA wakaniambia bamba yako tulichukua kwenye bodi fulani hivyo tunakuhitaji ukafanye kazi sehemu fulani kwa mkataba wa miezi 3 nikawambia mimi tayari nimeshaajiriwa tayari
Kwanini huwa wanawapigia wale waliokwisha ajiriwa ilhali unemployed wamewalemea? Kama mtu ana degree mpaka afanye kazi aliyosomea exactly? Kuna baadhi ya majukumu yanashabihiana na kama mtu kasoma kasoma tuu. Kama hajasoma hajasoma tuu.

Nimeandika haya maana kila mtu utasikia walinipigia nikawajibu nimeshapata kazi. Wengine wamesubiri mpaka wamezeeka.
 
Kwanini huwa wanawapigia wale waliokwisha ajiriwa ilhali unemployed wamewalemea? Kama mtu ana degree mpaka afanye kazi aliyosomea exactly? Kuna baadhi ya majukumu yanashabihiana na kama mtu kasoma kasoma tuu. Kama hajasoma hajasoma tuu.

Nimeandika haya maana kila mtu utasikia walinipigia nikawajibu nimeshapata kazi. Wengine wamesubiri mpaka wamezeeka.
Walinipigia kwa sababu hawakufahamu kama nimeajiriwa
 
Walinipigia kwa sababu hawakufahamu kama nimeajiriwa
Ni sawa kwa maneno yako lkn in realty kuna baadhi ya proffesion ni kawaida kupigiwa na nyingine ni kama ku bet.

Anyway time knows everything. And decides Perfectly.
 
Back
Top Bottom