Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,813
- 4,546
Umefuta Message kwa bahati mbaya ??
Kuna wakati unajikuta katika kupunguza punguza vitu basi kwa bahati mbaya ukafuta (sms) au taarifa zako muhimu. Je unatakiwa upate stress๐ค? Hapana!
Kuna mbinu kadhaa unaweza kuzitumia ili kurejesha sms zilizopotea kwenye simu yako. Katika andiko hili tutaangazia njia mbili rahisi.
1. Kutumia Google Drive
2. Kutumia App
1. Kutumia Google Drive
Njia ya kwanza kwa kutumia ๐๐ผ๐ผ๐ด๐น๐ฒ ๐ฑ๐ฟ๐ถ๐๐ฒ, kupitia google drive unaweza rudisha ujumbe ulizofuta kwa bahati mbaya kwenye simu yako. Sio ujumbe tu mpaka picha , audio , contacts nk.
Ingia kwenye setting ya simu yako Kisha chagua About system halafu ๐ฏ๐ฎ๐ฐ๐ธ๐๐ฝ๐ & ๐ฟ๐ฒ๐๐๐ผ๐ฟ๐ฒ.
โข ukingia kwenye backups hapo unafanya kazi ya kuhifadhi vitu vyako kwenye email yako contact, picha, calendar, audio.
โข Kama hujafanya backups na unaogopa data zako utapoteza basi bonyeza backups
โข Katika mbinu hii pia unaweza fanya backup za Apps zako.
โ Ukingia kwenye restore sasa unafanya kazi ya kurudisha vitu vyako ikiwa umefuta kwa bahati mbaya basi utavipata bila shida yoyote.
2. K๐๐๐๐บ๐ถ๐ฎ A๐ฝ๐ฝ๐
Kupitia app itakusaidia kurudisha vitu vyako ikiwa umefuta kwa bahati mbaya kama vile message & mms pamoja na call logs.
๐ฆ๐บ๐ ๐ฏ๐ฎ๐ฐ๐ธ๐๐ฝ & ๐ฟ๐ฒ๐๐๐ผ๐ฟ๐ฒ ๐ป๐ถ ๐ฎ๐ฝ๐ฝ ambayo itakusaidia kufanya backups pamoja restore call zako Ikiwa
โข umefuta kwa bahati mbaya
โข ikiwa unahitaji kuhamisha sms zako kwenye simu mpya bila kutumia na mtu
โข ikiwa unataka kuhamisha call logs zako kwenye simu mpya au nk
Hii App inakupa nafasi ya kuhifadhi vitu vyako kwenye Google drive , Dropbox pamoja na One drive vitakaa muda mrefu bila kupotea โ.
ZINGATIA: Ili Kufanikisha njizi Hizi yakupasa kuwa na SD-CARD(memory) katika simu yako ili kuweza kutumia njia ya Backup & Restore.
Memory Itakusaidia kuhifadhi vitu ulivyobackup kwa urahisi hata ikatokea ume flash simu yako baati mbaya basi kama ulitumia memory kuhifadhi data basi ni rahisi kuzirudisha.
Pia washauriwa kutumia Google Massages ili kupata uwezo wa ku backup massage zako kila baada ya muda kadhaa mfano 24Hrs, 2Day, 1Week.
Kumbuka Data zitakazorudi ni zile ambazo uli backup kabla ya kupoteza chochote, lakini haiwezi rudisha sms zilizotumwa baada ya backup process kufanyika
Credit: Bongo Tech
Kuna wakati unajikuta katika kupunguza punguza vitu basi kwa bahati mbaya ukafuta (sms) au taarifa zako muhimu. Je unatakiwa upate stress๐ค? Hapana!
Kuna mbinu kadhaa unaweza kuzitumia ili kurejesha sms zilizopotea kwenye simu yako. Katika andiko hili tutaangazia njia mbili rahisi.
1. Kutumia Google Drive
2. Kutumia App
1. Kutumia Google Drive
Njia ya kwanza kwa kutumia ๐๐ผ๐ผ๐ด๐น๐ฒ ๐ฑ๐ฟ๐ถ๐๐ฒ, kupitia google drive unaweza rudisha ujumbe ulizofuta kwa bahati mbaya kwenye simu yako. Sio ujumbe tu mpaka picha , audio , contacts nk.
Ingia kwenye setting ya simu yako Kisha chagua About system halafu ๐ฏ๐ฎ๐ฐ๐ธ๐๐ฝ๐ & ๐ฟ๐ฒ๐๐๐ผ๐ฟ๐ฒ.
โข ukingia kwenye backups hapo unafanya kazi ya kuhifadhi vitu vyako kwenye email yako contact, picha, calendar, audio.
โข Kama hujafanya backups na unaogopa data zako utapoteza basi bonyeza backups
โข Katika mbinu hii pia unaweza fanya backup za Apps zako.
โ Ukingia kwenye restore sasa unafanya kazi ya kurudisha vitu vyako ikiwa umefuta kwa bahati mbaya basi utavipata bila shida yoyote.
2. K๐๐๐๐บ๐ถ๐ฎ A๐ฝ๐ฝ๐
Kupitia app itakusaidia kurudisha vitu vyako ikiwa umefuta kwa bahati mbaya kama vile message & mms pamoja na call logs.
๐ฆ๐บ๐ ๐ฏ๐ฎ๐ฐ๐ธ๐๐ฝ & ๐ฟ๐ฒ๐๐๐ผ๐ฟ๐ฒ ๐ป๐ถ ๐ฎ๐ฝ๐ฝ ambayo itakusaidia kufanya backups pamoja restore call zako Ikiwa
โข umefuta kwa bahati mbaya
โข ikiwa unahitaji kuhamisha sms zako kwenye simu mpya bila kutumia na mtu
โข ikiwa unataka kuhamisha call logs zako kwenye simu mpya au nk
Hii App inakupa nafasi ya kuhifadhi vitu vyako kwenye Google drive , Dropbox pamoja na One drive vitakaa muda mrefu bila kupotea โ.
ZINGATIA: Ili Kufanikisha njizi Hizi yakupasa kuwa na SD-CARD(memory) katika simu yako ili kuweza kutumia njia ya Backup & Restore.
Memory Itakusaidia kuhifadhi vitu ulivyobackup kwa urahisi hata ikatokea ume flash simu yako baati mbaya basi kama ulitumia memory kuhifadhi data basi ni rahisi kuzirudisha.
Pia washauriwa kutumia Google Massages ili kupata uwezo wa ku backup massage zako kila baada ya muda kadhaa mfano 24Hrs, 2Day, 1Week.
Kumbuka Data zitakazorudi ni zile ambazo uli backup kabla ya kupoteza chochote, lakini haiwezi rudisha sms zilizotumwa baada ya backup process kufanyika
Credit: Bongo Tech