Najinyonga kabsaaa
Umenikumbusha nimeletewa zawadi ya dela toka UK na bro wangu, kiukweli tabasamu la King'asti sikuliweza nikamshushua hapo hapo nikamshukuru anyway. Nimefurahia mkanda tu.
Nilivuompigia mama, akanigombeza kwa ungratefulness yangu.
Yaani linachekesha, hata siwezi livaa. My priest brother is totally tasteless. I hope hatasoma hapa maana JF anaitumia kupata habari za TZ.
Next time aniulize mumeo nimuelekeze
kwan unaweza kupokea zawad ambayo uipendi kweliEndapo umepewa zawadi au kitu chochote ambacho hukipendi, unafanya nin ili alokupa zawadi asigundue hukipendi??
Mfano umepewa shati jekundu na wewe sio rangi unayoipenda.
Naombeni mawazo yenu.
Nitamshauri, imagine dela la purple halafu linatereza tereza huku linang'aa. Jamani hata chumbani halifai.
Nitaligawa kwakweli.
Umenichunia mupenzi wangu, yaani Eid nimekula mwenyewe.
Nitamshauri, imagine dela la purple halafu linatereza tereza huku linang'aa. Jamani hata chumbani halifai.
Nitaligawa kwakweli.
Umenichunia mupenzi wangu, yaani Eid nimekula mwenyewe.