Ukipewa utawezaa we kibabuu,,

Ukipewa utawezaa we kibabuu,,

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,093
PIC%2BOF%2BTHE%2BDAY.JPG
 
Wanasema roho haizeeki, ila atafia hapo hapo kifuani.
 
Ng'ombe hazeeki maini:crazy:Babu kama kayavulia nguo hayo maji lazima uwezo wa kuyaoga anao tuuu!!! Keep it up BABUUU....
 
Vizee kama hivi ni balaaa, kinaweza kwenda hata goli tatu bila kupumzika. Ukija kuangalia aliyekuwa anamuliza ni kiji babu
 
Vizee kama hivi ni balaaa, kinaweza kwenda hata goli tatu bila kupumzika. Ukija kuangalia aliyekuwa anamuliza ni kiji babu
Wazee kama hawa walikula vyakula vya asili ni kiboko sio kizazi hiki cha chips/mayai akipiga kimoja tu hoi.
 
The last thing that remains for an oldman is always functioning as long as he is healthy! Mpe uone!
 
Back
Top Bottom